Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Ufinyu wa akili zako na maarifa umeishia hapo. Andiko linasema watu wangu wanaangamia kwa ukosefu wa maarifa ila sio kwa ukosefu wa elimu.
.... ukijua mwanzilishi ndo utaacha kuabudu au , ndo utahama dini.

Sio kukupa data zote kozi bado unatawaliwa kifkra. Maana nitakupa mfano mdogo sana
..... Hussein MJUKUU wa mtume unamfahamu?
1. Thibitisha hoja yako
2. Huyo mwanzilishi ni nani?
3. Ibada ni nini?

Mzee kama haujui sema sijui watu wapate faida kuwa mjinga mmoja amekurupuka kutetea ujinga wake.
 
Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule mwanadam wa 3/4 "homo habilis /sapiens"
😁😁😁 Mwanasayansi.
Tatizo ni moja dini nini?
... Watu waliabudu kabla ya dini hizi kuwepo sasa wapi tunakwama. Nieleweke
Uisalamu ni TAMADUNI za kiarabu na kama ni dini ni dini yao sio huku Afrika ila ukisema Quran au bible hausiani na mambo yaliyko kwa dini (Wakristo wanawake wanatakiwa wavae ushungi huku wakristo wanavaa au ? Maarifa........
 
Kwahiyo kule ambako hakuna karafuu Wala meno ya tembo uislamu ulifuata nini

Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule
 
Ukristo ulifika Africa ya kaskazini kwa mara ya kwanza kati ya karne ya 1 na ya 4 na ulienea mpaka mashariki mwa africa (Ethiopia)

Uislamu pia kwa mara ya kwanza ulikuja karne ya 17 ukianzia huko huko kasikazini mwa Africa.

Dini zote mbili zililetwa

Kabla ya hapo tulikuwa na dini ya kwetu ya asili ambayo tuliamini chini ya Mungu mmoja SUPREME GOD watu waliishi kwa upendo. Hakukuwa na mtu anaitwa KAFIRI wala MPAGANI. Hata baada ya uislamu na ukristo kuingia Dini yetu ya asili ilifundisha kuheshimu watu wa dini nyingine.

Wasioamini katika Dini ya kikristo na uislamu mfano wake ni sisi tunaoitwa WAPAGANI. Inachekesha sana yaani kuamini katika dini yako ya asili ni kosa kwa dini nyingine za kigeni.
 
Hii ni Kwa mujibu wa tafiti yake? Au Kuna maandiko amenukuu kutoka vitabu vya watu wa kale? Naanzaje kumwani kama hana nukuu kutokana na vitabu vya kale? Kwasababu kuelezea ya kale na yeye hakuwepo katika hizo zama bila nukuu ni uganga tu.
Uko na akili ila bado uanaamini dini kuliko Mungu
 
Ukristo ulifika Africa ya kaskazini kwa mara ya kwanza kati ya karne ya 1 na ya 4 na ulienea mpaka mashariki mwa africa (Ethiopia)

Uislamu pia kwa mara ya kwanza ulikuja karne ya 17 ukianzia huko huko kasikazini mwa Africa.

Dini zote mbili zililetwa

Kabla ya hapo tulikuwa na dini ya kwetu ya asili ambayo tuliamini chini ya Mungu mmoja SUPREME GOD watu waliishi kwa upendo. Hakukuwa na mtu anaitwa KAFIRI wala MPAGANI. Hata baada ya uislamu na ukristo kuingia Dini yetu ya asili ilifundisha kuheshimu watu wa dini nyingine.

Wasioamini katika Dini ya kikristo na uislamu mfano wake ni sisi tunaoitwa WAPAGANI. Inachekesha sana yaani kuamini katika dini yako ya asili ni kosa kwa dini nyingine.
🙏🙏🙏 Vizuri sana. Kutawaliwa kifikra nakutojitambua . Upendo ulikuwa wa kutosha watu hatukuwa na mambo ya kubaguana hila leo ubaguzi . UISALAMU NA UKRISTO BIASHARA ZA WATU KAMA VYAMA VYA SIASA
 
[emoji120][emoji120][emoji120] Vizuri sana. Kutawaliwa kifikra nakutojitambua . Upendo ulikuwa wa kutosha watu hatukuwa na mambo ya kubaguana hila leo ubaguzi . UISALAMU NA UKRISTO BIASHARA ZA WATU KAMA VYAMA VYA SIASA
Kabisa tuliishi kwa umoja na Dini yetu ilihubiri zaidi Upendo, na mpaka leo ukienda madagascar 53% ya watu wake waaamini katika dini origino ya kiafrica.
 
Upo vizuri sana madam.

Nami ningependa kujua dini ya kiislamu ulianza lini ?
Huyo bendera fuata upepo bhana. Mtu kazaliwa kwenye uisalam au ukristo na kukariri kila kitu 😁 uliza hata maswali hao viongozi wenu wadini.

👤 Waislamu (Tunamswalia mtume Mohammad S.a.w) kila siku na kumuombea sisi je kama sio kupigwa kifkra
 
naomba kuuliza
mara ya kwanza kabisa uislamu ulifikaje Africa
Kwanza naona tuelewe ni nini maana ya neno "Uislam". Tukielewa maana yake basi naamini hata swali "ni lini ulifika Afrika" halitakuwepo.

Unafahamu maana ya neno "Uislam"?
 
Kabisa tuliishi kwa umoja na Dini yetu ilihubiri zaidi Upendo, na mpaka leo ukienda madagascar 53% ya watu wake waaamini katika dini origino ya kiafrica.
Hakuna kitu kibaya unachopokea kwa SHANGWE kama kitu cha kuletewa bila kujaji kiko na faida au hasara? Nataka niulize faida ya njia au mwongozo wa kiisalamu ni nini?
 
Kabla ya uisalam watu waliabudu .hata kabla ya yesu au ISSA bin mariamu watu walikuwa wakiabudu.

👉 Qur'an inasema waliowatangulia walifunga so fungeni. Kwahiyo unaona hata hii funga sio kwasababu ya dini ilikuwepo.

Bible. Yesu akuwa na dini na yesu aliwasihi watu kumcha mungu akusema wafuate dini.

👤 Mwanzilishi wa dini ni Binadamu.... kama binadamu aliyegundua pesa.

Masuala ya imani sio hoja.. sema bila kuchangamsha akili + maarifa utabaki kuwa mtumwa.
very weak reasoning 😂😂😂👇

waliotangulia means ni kaumu (ummah) jamii za enzi yaani vizazi vilivyotangulia ..Jaalie leo ni mwaka 2023 ni 100% kwa watu walizaliwa kabla ya 1000's hawapo wote means ni kizazi kilichopita ni nadra sanaa kukuta hata binadamu wa sasa ana umri wa miaka 200 tu .


Nina maana kuna zama zinapita kila kizazi kinahang katika miaka fulani then kinapotea wanakuja wengine...Tambuq hizo ni zama na palikuwa na mitume kila zama kutokana na life expectancy yao nao wakafa na kizazi kikapotea basi nikaja kingine ndo ivyo mpaka hiki cha mwisho chini Ya Muhamad kama mtume kwa waislamu tunavyoamin
 
Kwanza naona tuelewe ni nini maana ya neno "Uislam". Tukielewa maana yake basi naamini hata swali "ni lini ulifika Afrika" halitakuwepo.

Unafahamu maana ya neno "Uislam"?
Lete maana basi... watu wapate kitu. mtu uko na jaziba uislamu unafundisha hivo. Ukafiri wameanzisha waislamu ASTAGRAFIRUALLHA
 
Upo vizuri sana madam.

Nami ningependa kujua dini ya kiislamu ilianza lini ?
Ahsante.

Kwanza tuelewe maana ya neno Uislam, tukielewa basi naamini hatutata tabu ya kuelewa ulianza lini.
 
Huyu mtu alikua ni nani kwa uchunguzi wako uliofanya? Na aliwezaje kuanzisha dini moja mwaka 0 na nyingine akaianzisha baada ya miaka zaidi ya 400??
Jibu. Dunia tangia iumbwe ni miaka 2023? ukinijibu utakuwa ushapata jibu.
Dini unajua maana ya dini au ? (DINI NI MWONGOZO AU NJIA)
.AFRIKA TULIKUWA NA MWONGOZO WETU SIO WOTE WALIKUWA NA IMANI ZA KISHIRIKINA. KAMA BASI UISALAM UMEKUJA KUONDOA USHIRIKINA NA IMANI POTOFU IMANI HIZO ZIMEISHA?
 
Back
Top Bottom