kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
1. Thibitisha hoja yakoUfinyu wa akili zako na maarifa umeishia hapo. Andiko linasema watu wangu wanaangamia kwa ukosefu wa maarifa ila sio kwa ukosefu wa elimu.
.... ukijua mwanzilishi ndo utaacha kuabudu au , ndo utahama dini.
Sio kukupa data zote kozi bado unatawaliwa kifkra. Maana nitakupa mfano mdogo sana
..... Hussein MJUKUU wa mtume unamfahamu?
πππ Mwanasayansi.Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule mwanadam wa 3/4 "homo habilis /sapiens"
Kwahiyo kule ambako hakuna karafuu Wala meno ya tembo uislamu ulifuata nini
Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule
Uko na akili ila bado uanaamini dini kuliko MunguHii ni Kwa mujibu wa tafiti yake? Au Kuna maandiko amenukuu kutoka vitabu vya watu wa kale? Naanzaje kumwani kama hana nukuu kutokana na vitabu vya kale? Kwasababu kuelezea ya kale na yeye hakuwepo katika hizo zama bila nukuu ni uganga tu.
Kama hujuwi maana ya neno Uislam, unaongelea usichokijuwa.
Hakuna Kiarabu chochote ulichoandika. Wewe hata hilo neno "Madrassa" hujuwi maana yake.
πππ Vizuri sana. Kutawaliwa kifikra nakutojitambua . Upendo ulikuwa wa kutosha watu hatukuwa na mambo ya kubaguana hila leo ubaguzi . UISALAMU NA UKRISTO BIASHARA ZA WATU KAMA VYAMA VYA SIASAUkristo ulifika Africa ya kaskazini kwa mara ya kwanza kati ya karne ya 1 na ya 4 na ulienea mpaka mashariki mwa africa (Ethiopia)
Uislamu pia kwa mara ya kwanza ulikuja karne ya 17 ukianzia huko huko kasikazini mwa Africa.
Dini zote mbili zililetwa
Kabla ya hapo tulikuwa na dini ya kwetu ya asili ambayo tuliamini chini ya Mungu mmoja SUPREME GOD watu waliishi kwa upendo. Hakukuwa na mtu anaitwa KAFIRI wala MPAGANI. Hata baada ya uislamu na ukristo kuingia Dini yetu ya asili ilifundisha kuheshimu watu wa dini nyingine.
Wasioamini katika Dini ya kikristo na uislamu mfano wake ni sisi tunaoitwa WAPAGANI. Inachekesha sana yaani kuamini katika dini yako ya asili ni kosa kwa dini nyingine.
Kabisa tuliishi kwa umoja na Dini yetu ilihubiri zaidi Upendo, na mpaka leo ukienda madagascar 53% ya watu wake waaamini katika dini origino ya kiafrica.[emoji120][emoji120][emoji120] Vizuri sana. Kutawaliwa kifikra nakutojitambua . Upendo ulikuwa wa kutosha watu hatukuwa na mambo ya kubaguana hila leo ubaguzi . UISALAMU NA UKRISTO BIASHARA ZA WATU KAMA VYAMA VYA SIASA
Huyo bendera fuata upepo bhana. Mtu kazaliwa kwenye uisalam au ukristo na kukariri kila kitu π uliza hata maswali hao viongozi wenu wadini.Upo vizuri sana madam.
Nami ningependa kujua dini ya kiislamu ulianza lini ?
Kwanza naona tuelewe ni nini maana ya neno "Uislam". Tukielewa maana yake basi naamini hata swali "ni lini ulifika Afrika" halitakuwepo.naomba kuuliza
mara ya kwanza kabisa uislamu ulifikaje Africa
Hakuna kitu kibaya unachopokea kwa SHANGWE kama kitu cha kuletewa bila kujaji kiko na faida au hasara? Nataka niulize faida ya njia au mwongozo wa kiisalamu ni nini?Kabisa tuliishi kwa umoja na Dini yetu ilihubiri zaidi Upendo, na mpaka leo ukienda madagascar 53% ya watu wake waaamini katika dini origino ya kiafrica.
very weak reasoning ππππKabla ya uisalam watu waliabudu .hata kabla ya yesu au ISSA bin mariamu watu walikuwa wakiabudu.
π Qur'an inasema waliowatangulia walifunga so fungeni. Kwahiyo unaona hata hii funga sio kwasababu ya dini ilikuwepo.
Bible. Yesu akuwa na dini na yesu aliwasihi watu kumcha mungu akusema wafuate dini.
π€ Mwanzilishi wa dini ni Binadamu.... kama binadamu aliyegundua pesa.
Masuala ya imani sio hoja.. sema bila kuchangamsha akili + maarifa utabaki kuwa mtumwa.
Lete maana basi... watu wapate kitu. mtu uko na jaziba uislamu unafundisha hivo. Ukafiri wameanzisha waislamu ASTAGRAFIRUALLHAKwanza naona tuelewe ni nini maana ya neno "Uislam". Tukielewa maana yake basi naamini hata swali "ni lini ulifika Afrika" halitakuwepo.
Unafahamu maana ya neno "Uislam"?
Ubarikiwe endelea kuwapa elimu hawa wanaokubali mashekhe kuliko waume zaoMUNGU yupo namwamini ila siendi msikitini wala kanisani....pia natenda mema na naepuka kukwaza wengine
Ahsante.Upo vizuri sana madam.
Nami ningependa kujua dini ya kiislamu ilianza lini ?
Ahsante.
Kwanza tuelewe maana ya neno Uislam, tukielewa basi naamini hatutata tabu ya kuelewa ulianza lini.
Jibu. Dunia tangia iumbwe ni miaka 2023? ukinijibu utakuwa ushapata jibu.Huyu mtu alikua ni nani kwa uchunguzi wako uliofanya? Na aliwezaje kuanzisha dini moja mwaka 0 na nyingine akaianzisha baada ya miaka zaidi ya 400??
"Mungu" wako unaemuongelea ni yupi?MUNGU yupo namwamini ila siendi msikitini wala kanisani....pia natenda mema na naepuka kukwaza wengine