Zulu Man Tz
Member
- Sep 23, 2020
- 73
- 99
Unaweza ukawa na dini lakini usiwe hata na chembe ya Imani ya kumfikia Mwenyezi Mungu ujue, ko dini haimati kama ww uko na imani thabitiNeno "dini" linamaanisha mfumo wa imani na ibada za kiroho au za kimungu ambazo watu wanazifuata. Dini inajumuisha mambo kama imani, maadili, ibada, na utamaduni ambao unaunganishwa na imani ya kimungu. Kwa kifupi, dini ni njia ya kumfikia Mwenyezi Mungu au nguvu za kimungu kwa njia ya imani na ibada.
Umeitowa wapi hiyo maana?Neno "dini" linamaanisha mfumo wa imani na ibada za kiroho au za kimungu ambazo watu wanazifuata. Dini inajumuisha mambo kama imani, maadili, ibada, na utamaduni ambao unaunganishwa na imani ya kimungu. Kwa kifupi, dini ni njia ya kumfikia Mwenyezi Mungu au nguvu za kimungu kwa njia ya imani na ibada.
Umeuliza "nini maana ya neno dini" au umeuliza "asili ya neno dini"?Umeitowa wapi hiyo maana?
Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .
Hayo mambo ya kuua hata sasa yapo.Soma historia uone watu waliishi vipi zamani. Kuna jamii ziliishi kwa kuamini katika kutoa binadam wenzao kafara Amerika ya kusini. Na hata Afrika tu kuna jamii zilikua na mila za ajabu sana za kuumiza binadam wenzao kabla ya dini
Says who? A book written in the 7th century.
Naam na ndio maana nikasema mahali kua dini inaharibiwa sifa na watu wanao iongozaHayo mambo ya kuua hata sasa yapo.
Al Shabaab, boko haram. al Qaeda na wengine wengi wameangamiza binadamu wenzao wengi sana bila hatia kwa sababu hiyo hiyo ya mambo ya dini.
Tupe maana ya neno dini linatoka kabila ganiMwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.
Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Mungu ulimjuaje bila kupitia dini?kwa sababu babu zetu awakumjuaMe ni binadamu ninaefuata maamlisho ya mungu masuala ya udini weka p3mbeni
Hicho kitabu cha Quran si kimeandkwa juzi karne ya 7 ? Kitabu cha juzi hapo kinathibitisha nini wakati hakikuwapo kabla ya hapo?Dini ni njia.
Njia ya kwenda wapi?
Qur'an ina jibu la hilo...
Qur'an inasema Inna Dini Indi Allah Al Islam.
Hakika dini (njia) kwa Mwenyezi Mungu ni Uislam.
Sasa wewe jiulize, Mwenyezi Mungu yupo toka lini?
Naam, Qur'an unaielewa? Umeshachukuwa nia ya kuidoma uuelewe ujunbe uliomo japo kidogo? Au unataka kubishana kuhusu usiyoyajuwa?
Dini yako ya Uislam ilianza karne ya 7. Haikuwahi kuwepo kabla ya hapo.Dini yako ni ipi? tuongelee unachokijuwa. maana dini yangu umeielewa kuhusu hicho ulichokisoma lakini hutaki kukubali.
Kuamini manabii waliopita (ambao walizungumzwa na Tanakh ya wayahudi na Biblia ya Wakristo) hakuufanyi kuwa ulikuwepo kabla.Uislamu kama dini ya Kiislamu, ilianzishwa na Mtume Muhammad (SAW) huko Makkah na Madina karne ya 7 AD. Hivyo, haiwezekani kusema kwamba Uislamu uliwepo kabla ya Mtume Muhammad (SAW).
Hata hivyo, inajulikana kwamba mafundisho ya Uislamu yanategemea mafundisho ya Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu, ambao walikuja kabla ya Mtume Muhammad (SAW). Kwa mfano, Uislamu unakubali na kuamini kwamba Mitume wote wa Mwenyezi Mungu, kuanzia Adamu, Nuhu, Ibrahimu, Musa, Isa, na wengineo, walikuja na kufikisha ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa watu wao.
Kwa hivyo, ingawa Uislamu kama dini ilianzishwa na Mtume Muhammad (SAW), mafundisho yake yanategemea mafundisho ya Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu ambao walitangulia kabla yake.
Na huo Uislam haukuwepo kabla ya Mohamad. Hii ndio point yangu.Uislam haujabeba jina la mtu kama hizo dini zingine ulizozitaja.
Huwezi kuulinganisha nazo.
Walimjua vzr tu. Sema mliaminishwa kuwa walikuwa hawamjui na mkaamini. Mnazani zile mvua walizoomba zikaja zikitokana na shetani???. Plus madawa ya kujitibu unazani hizo AKILI waliipata kwa shetani. Tulimjua Mungu kabla Hao watu weupe hawajafika huku. Mbaya walivyokuja wakatuachanisha na njia ambazo zilikuwa rahisi kumfikia now tuko kama matahiraMungu ulimjuaje bila kupitia dini?kwa sababu babu zetu awakumjua
Ndio nilichosema hapo. Uislamu haukuwepo kabla ya karne ya 7, Ulianza kuwepo karne ya 7 mara tu alipozaliwa mtume Muhammad (SAW)Kuamini manabii waliopita (ambao walizungumzwa na Tanakh ya wayahudi na Biblia ya Wakristo) hakuufanyi kuwa ulikuwepo kabla.
Point ni kuwa UISLAM ulianzishwa karne ya 7 na kabla ya hapo haukuwahi kuwepo popote pale.
Dini a.k.a Religion ina definition yake na inapatikana kwenye dictionary kwa sababu dictionary/kamusi ndio inayotupa tafsiri ya maneno.Umeitowa wapi hiyo maana?
Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .
Huyo unayemuita mwenyezimungu, ameyasema kwenye kitabu kilichoandikwa juzi karne ya 7.Aliesema maneno haya ni Mwenyezi Mungu na sio binadamu
Ni kweli kabisa kwamba mtu anaweza kuwa na dini lakini bado asiwe na imani thabiti au hata asiwe na imani kabisa. Dini inaweza kuwa sehemu ya kitambulisho cha mtu, lakini kile kinachomfanya mtu kuwa muumini wa kweli ni imani yake binafsi na uhusiano wake na Mwenyezi Mungu. Imani ya mtu inaweza kuathiriwa na mambo mbalimbali kama vile uzoefu wa maisha, mazingira ya kijamii, na hata elimu. Kwa hiyo, kuwa na dini haiwezi kuhakikisha kwamba mtu ana imani thabiti au ya kweli kwa Mwenyezi Mungu.Unaweza ukawa na dini lakini usiwe hata na chembe ya Imani ya kumfikia Mwenyezi Mungu ujue, ko dini haimati kama ww uko na imani thabiti
Labda babu zakoMungu ulimjuaje bila kupitia dini?kwa sababu babu zetu awakumjua
Elimu yako ndogo sana we DadaUmeitowa wapi hiyo maana?
Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .