Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Unaweza ukawa na dini lakini usiwe hata na chembe ya Imani ya kumfikia Mwenyezi Mungu ujue, ko dini haimati kama ww uko na imani thabiti
 
Umeitowa wapi hiyo maana?

Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .
 
Umeitowa wapi hiyo maana?

Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .
Umeuliza "nini maana ya neno dini" au umeuliza "asili ya neno dini"?
Ni maswali mawili tofauti na unapaswa kujua juu ya huo utofauti wake

Hata hivyo neno "njia" kwa lugha ya Kiarabu ni "sabeel" au "tariqah". Katika muktadha wa dini, neno "njia" linaweza kutafsiriwa kama "tariqa" au "tarika", ambalo linamaanisha njia au mfumo wa kufuata katika imani fulani.
Kwa hiyo bado hilo neno njia haimaanishi njia ya kupita kwa miguu au baiskeli, inamaanisha njia ya kufuata imani fulani
 
Soma historia uone watu waliishi vipi zamani. Kuna jamii ziliishi kwa kuamini katika kutoa binadam wenzao kafara Amerika ya kusini. Na hata Afrika tu kuna jamii zilikua na mila za ajabu sana za kuumiza binadam wenzao kabla ya dini
Hayo mambo ya kuua hata sasa yapo.

Al Shabaab, boko haram. al Qaeda na wengine wengi wameangamiza binadamu wenzao wengi sana bila hatia kwa sababu hiyo hiyo ya mambo ya dini.
 
Hayo mambo ya kuua hata sasa yapo.

Al Shabaab, boko haram. al Qaeda na wengine wengi wameangamiza binadamu wenzao wengi sana bila hatia kwa sababu hiyo hiyo ya mambo ya dini.
Naam na ndio maana nikasema mahali kua dini inaharibiwa sifa na watu wanao iongoza
 
Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.

Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Tupe maana ya neno dini linatoka kabila gani
 
Hicho kitabu cha Quran si kimeandkwa juzi karne ya 7 ? Kitabu cha juzi hapo kinathibitisha nini wakati hakikuwapo kabla ya hapo?

Unathibitisha vipi uwepo wa uislam toka mwanzo wa ulimwengu kwa kutumia kitabu kilichoandikwa juzi hapo miaka ya 600's?

Nipe Uthibitisho NJE ya Hicho kitabu cha karne ya 7 kuwa Uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad.... Toa Uthibitisho WOWOTE ulionao... I'm here waiting for you.
 
Dini yako ni ipi? tuongelee unachokijuwa. maana dini yangu umeielewa kuhusu hicho ulichokisoma lakini hutaki kukubali.
Dini yako ya Uislam ilianza karne ya 7. Haikuwahi kuwepo kabla ya hapo.

Huu ni ukweli mchungu ambao you have to swallow it.

Hakuna maandishi yoyote YA KABLA YA MOHAMAD yanayothibitisha uwepo wa Uislam. HAYAPO.

Narudia tena, HAYAPO. Kama yapo YAWEKE HAPA.
 
Kuamini manabii waliopita (ambao walizungumzwa na Tanakh ya wayahudi na Biblia ya Wakristo) hakuufanyi kuwa ulikuwepo kabla.

Point ni kuwa UISLAM ulianzishwa karne ya 7 na kabla ya hapo haukuwahi kuwepo popote pale.
 
Mungu ulimjuaje bila kupitia dini?kwa sababu babu zetu awakumjua
Walimjua vzr tu. Sema mliaminishwa kuwa walikuwa hawamjui na mkaamini. Mnazani zile mvua walizoomba zikaja zikitokana na shetani???. Plus madawa ya kujitibu unazani hizo AKILI waliipata kwa shetani. Tulimjua Mungu kabla Hao watu weupe hawajafika huku. Mbaya walivyokuja wakatuachanisha na njia ambazo zilikuwa rahisi kumfikia now tuko kama matahira
 
Kuamini manabii waliopita (ambao walizungumzwa na Tanakh ya wayahudi na Biblia ya Wakristo) hakuufanyi kuwa ulikuwepo kabla.

Point ni kuwa UISLAM ulianzishwa karne ya 7 na kabla ya hapo haukuwahi kuwepo popote pale.
Ndio nilichosema hapo. Uislamu haukuwepo kabla ya karne ya 7, Ulianza kuwepo karne ya 7 mara tu alipozaliwa mtume Muhammad (SAW)
Mtu anayesema uislamu uliwepo kabla ya hapo anataka kuleta ushabiki usio na tija tu
 
Umeitowa wapi hiyo maana?

Dini ni neno linalotokana na lugha ya Kiarabu. Kwa neno moja la Kiswahili, tafsiri yake inamaanisha "njia" .
Dini a.k.a Religion ina definition yake na inapatikana kwenye dictionary kwa sababu dictionary/kamusi ndio inayotupa tafsiri ya maneno.

Definition ya Dini/Religion sio njia.

Hiyo definition ya "Dini ni njia" ni definition ya msikitini. Lakini Definition ya Lugha ipo kwenye kamusi /dictionary na haisemi hicho unachosema
 
Unaweza ukawa na dini lakini usiwe hata na chembe ya Imani ya kumfikia Mwenyezi Mungu ujue, ko dini haimati kama ww uko na imani thabiti
Ni kweli kabisa kwamba mtu anaweza kuwa na dini lakini bado asiwe na imani thabiti au hata asiwe na imani kabisa. Dini inaweza kuwa sehemu ya kitambulisho cha mtu, lakini kile kinachomfanya mtu kuwa muumini wa kweli ni imani yake binafsi na uhusiano wake na Mwenyezi Mungu. Imani ya mtu inaweza kuathiriwa na mambo mbalimbali kama vile uzoefu wa maisha, mazingira ya kijamii, na hata elimu. Kwa hiyo, kuwa na dini haiwezi kuhakikisha kwamba mtu ana imani thabiti au ya kweli kwa Mwenyezi Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…