Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo

Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hi gentlemen!

Wakuu hivi mnalichukuliaje suala la kadi za michango ya sherehe kama hharusi na send-off?

Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo, amekosa akili kichwani.
Tubadilike, tuache kupenda mambo makuu, tufanye sherehe za kipato chetu.

Tusaidiane kwenye mambo ya elimu, biashara , ajira na afya sio mambo ya kuchangiana mtu akafanye nanilii na mwenzi wake.
 
Ndoa ni yako. Ukioa au kuolewa, mke au mume ni wako.Mtaishi maisha yenu na familia yenu.Sasa ya nini kusumbuana?

Harusi ni jambo la kukaa na kupanga kila jambo,tukio na matarajio yenu. Si sawa na msiba ambao hauna taarifa.Kila mmoja ajipange kwa harusi yake.Usumbufu hautakiwi.
 
+1
Binafsi nilifanya harusi ya kimya kimya sikutaka kusumbua watu na haikunigharimu kabisa ni zile za mafungu siku ya mkesha wa pasaka.

Wakija na kadi mkononi wanaonijua huwa nawauliza swali moja tu , unaikumbuka harusi yangu ilivyofana? story zinaishia hapo, nimewahi kuchangia harusi chache sana moja ni wa bizz mate wangu ambaye hajui history yangu

Bora nichangie mgonjwa
 
Hi gentlemen!

Wakuu hivi mnalichukuliaje suala la kadi za michango ya sherehe kama hharusi na send-off?

Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo, amekosa akili kichwani.
Tubadilike, tuache kupenda mambo makuu, tufanye sherehe za kipato chetu.

Tusaidiane kwenye mambo ya elimu, biashara , ajira na afya sio mambo ya kuchangiana mtu akafanye nanilii na mwenzi wake.
Ukiwa complicated kwenye maisha hutafurahia maisha kamwe, mimi sina mpango wa kuoa lakini nachangia kama nina uwezo kama siwezi namuambia muhusika

Ukinialika sherehe mimi bila kuchangia siji sababu sitakuwa na uhuru

Tafuta ela acha makasiriko
 
Hi gentlemen!

Wakuu hivi mnalichukuliaje suala la kadi za michango ya sherehe kama hharusi na send-off?

Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo, amekosa akili kichwani.
Tubadilike, tuache kupenda mambo makuu, tufanye sherehe za kipato chetu.

Tusaidiane kwenye mambo ya elimu, biashara , ajira na afya sio mambo ya kuchangiana mtu akafanye nanilii na mwenzi wake.

Pamoja sana

Binafsi nilikataa kuchangiwa sendoff niliwashinda wapinzani wa katazo langu ambao ni ndugu na jamaa waliokuwa wanang'ang'ania ati nichangiwe sababu wao wamechangia

Unataka kuoa au kuolewa weka mipango yako sawa kadri ya uwezo wako sio kadri ya mifuko ya wengine
 
Back
Top Bottom