Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,905
- 4,518
Mimi nadhani "kuchangisha watu" ni umasikini mkubwa zaidi ya "kukataa kuchanga".Tafuta hela,umasikini huleta roho mbaya
Tutafute hela ili tusichangishe watu kwenye mambo madogo madogo kama harusi.