Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Dunia duara!!!!!Tatizo kuna maeneo kama kanda ya kaskazini ukiandaa sherehe ukaalika watu bila wao kuwa wamechanga hawaji, wanaona umewaona ni masikini hivyo umewaita ili uwalishe bure ( dharau) ndio maana hata matajiri huchangisha