Mimi nadhani "kuchangisha watu" ni umasikini mkubwa zaidi ya "kukataa kuchanga".Tafuta hela,umasikini huleta roho mbaya
Uko sahihi 100%.Hi gentlemen!
Wakuu hivi mnalichukuliaje suala la kadi za michango ya sherehe kama hharusi na send-off?
Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo, amekosa akili kichwani.
Tubadilike, tuache kupenda mambo makuu, tufanye sherehe za kipato chetu.
Tusaidiane kwenye mambo ya elimu, biashara , ajira na afya sio mambo ya kuchangiana mtu akafanye nanilii na mwenzi wake.
Tafuta pesa ili ufanye sherehe kubwa unayoitaka na sio kusubiri hela za wanaume ili ukaolee.Tafuta hela,umasikini huleta roho mbaya
Sherehe hujachangia nani aje raha ya sherehe uchangie,Pamoja sana
Binafsi nilikataa kuchangiwa sendoff niliwashinda wapinzani wa katazo langu ambao ni ndugu na jamaa waliokua wanang'ang'ania ati nichangiwe sababu wao wamechangia
Unataka kuoa au kuolewa weka mipango yako sawa kadri ya uwezo wako sio kadri ya mifuko ya wengine
Kuna matajiri Wana hela na still wanachangisha kwanin ili watu wawe comfortableTafuta pesa ili ufanye sherehe kubwa unayoitaka,na sio kusubiri hela za wanaume ili ukaolee.
Watu wajifunze kujitegemea/kusimamia mambo yao.Nitawachangia wasiojiweza na wenye nia thabiti ya ndoa.Ujanjaujuanja haufai.Kitonga kipigwe marufuku.Mimi nadhani "kuchangisha watu" ni umasikini mkubwa zaidi ya "kukataa kuchanga".
Tutafute hela ili tusichangishe watu kwenye mambo madogo madogo kama harusi.
Mambo mengi unafanya tu no one know tomorrow,Kinachosikitisha siku hizi watu wanapenda sherehe tu lakini hakuna ndoa kwa maana halisi ya ndoa, Masanja shahidi yangu.
Kama mtu unaweza kunywa bia za elfu 10, au 20, au hata 50 kwa mwezi kwanin nisichangie harusiWatu wajifunze kujitegemea/kusimamia mambo yao.Nitawachangia wasiojiweza na wenye nia thabiti ya ndoa.Ujanjaujuanja haufai.Kitonga kipigwe marufuku.
Hatamimi ndio falsafa yangu.Hi gentlemen!
Wakuu hivi mnalichukuliaje suala la kadi za michango ya sherehe kama hharusi na send-off?
Binafsi mtu anayenipa kadi ya mchango wa sherehe namwona kichwani hamnazo, amekosa akili kichwani.
Tubadilike, tuache kupenda mambo makuu, tufanye sherehe za kipato chetu.
Tusaidiane kwenye mambo ya elimu, biashara , ajira na afya sio mambo ya kuchangiana mtu akafanye nanilii na mwenzi wake.
Hapo sawa, hata Mimi nashauri watu wafanye sherehe kulingana na uwezo walio nao.+1
Binafsi nilifanya harusi ya kimya kimya sikutaka kusumbua watu na haikunigharimu kabisa ni zike za mafungu siku ya mkesha wa pasaka.
Wakija na kadi mkononi wanaonijua huwa nawauliza swali moja tu , unaikumbuka harusi yangu ilivyofana? story zinaishia hapo, nimewahi kuchangia harusi chache sana moja ni wa bizz mate wangu ambaye hajui history yangu
Bora nichangie mgonjwa
Tatizo letu ni kwamba,usipoenda harusini wao hawata kuja msibani(ukifiwa).Mambo ya kijinga. Tuzingatie masuala ya elimu na uchumi