Sema utamkumbuka wewe.Tutakukumbuka hayati John pombe magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema utamkumbuka wewe.Tutakukumbuka hayati John pombe magufuli
Mbona matusi mkuuSema utamkumbuka we na nduguzo ambao mnaabudia wafu
Tunataka Maendeleo sio porojo zenuSikilizeni, mtu asiyefuata sheria katika kuongoza, asiyeheshimu mamlaka zingine na kukanyaga mihimili ya dola,
Anayejifanyia mambo tu anavyotaka yeye bila kufuata taratibu,
kamwe hawezi kuwa mzalendo.,
Huyo atakuwa mwendawazimu flani tu.
Hakuna tusi hapo mkuu,wafu sio tusi boss.Mbona matusi mkuu
Hapo kwenye Mnyonge Mnyongeni Ndio ananyongwa sasa hivi,Pamoja na mapungufu yake lakini Magu alifanya maendeleo makubwa na yanaonekana..!! “Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni”
Kwahiyo Kitabu kinapitia TCRA au ni kitabu Cha kiada kufundishia secondary Ili serikali iwezei kukipiga Ban? Huwa mnawaza Kwa kutumia sehemu ipi ya mwili?Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana