Binafsi siwezi kuishi na mtu anayeenda kwa Waganga wa kienyeji na Mchawi

Ukikua utaelewa.

"Asiyejua maana ,haambiwi maana".

Kwa hiyo waandishi wa Quran Kam mtume Muhamad hakuwa amekua alipokuwa anakataza uchawi na shirki?
Kwa hiyo mataifa yanayoona uchawi na ushirikina na mila potofu za kupigwa vita hawajakua?

Kuna Watu akili zenu mnazijua wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…