Binafsi siwezi kuishi na mtu anayeenda kwa Waganga wa kienyeji na Mchawi

Binafsi siwezi kuishi na mtu anayeenda kwa Waganga wa kienyeji na Mchawi

Mamy K siku hizi washirikina wakubwa ni hawa walokole. Hili ni kundi linaloendekeza ushirikina hakuna mfano. Wachungaji na manabii wengi wanajua kuwa bila kuwajaza waumini wao hofu ya uchawi, hawatanunua mavitu yao ya upako. Kwa kifupi ni kuwa hawa manabii na wachungaji wa kilokole ni waganga wa kienyeji wanaotumia biblia badala ya vibuyu na matunguli wengine.
Wamewaiga Masheikh wa bidaa, wamefanya sana hizo mambo.....Shri anachanganya Aya za Qur'an na uchawi....ndo mara wanaandika makombe, mara hii kafukie, hii kapake uchawi mtupu.
Now makombe ya kilokole ndo hayo mafuta ya upako na maji......
 
Binafsi siwezi ishi na mtu ambaye anapenda mambo ya kishirikina, anaenda kwa waganga, au anadalili za uchawi uchawi.
Wateja wengi wa waganga ni ndugu zako wa Chamani na unaishi nao, u shake hand, huges etc... Kwa kifupi unaishi nao!
 
We mwenyewe utapambana na Mwendokasi🤣🤣🤣 Muhimu mganga ale kuku na atembelee wowowoo🤣
Mwendokasi zipo, treni la mwakyembe hilo hapo...aaaahhh mganga wangu atafrahiii
 
Yakikukuta yale ya noway out utaanyooka, nyie mnaojiapiza ni wepes kbs kulko wale neutral [emoji1625][emoji1625]

Kama wewe huna miiko usidhani kila mtu yupo kama wewe.
Kuna miiko hata kama no way huwezi kuivunja.

Mfano nakuuliza, wewe unaweza kuwa shoga ikiwa utafikia Ni way?
 
Upo sahihi mkuu

Uchawi ni nguvu ndogo Sana kiroho na ipo renewable in each single day

That is way MTU anaweza kukuchezea ukafukuzwa kazi Ila hana uwezo wa kukufanya ukose kazi.

Ni vizuri watu wakaishi kitibeli kwa kuipenda HAKI

Maana ukiipenda haki utakuwa innocence na ukiwa innocence huwezi kurogwa.
 
Mpaka kuandika huu uzi teyari umeshalogwa na mdada mzuri na hujui sababu ya kuandika huu uzi.
 
Upo sahihi mkuu

Uchawi ni nguvu ndogo Sana kiroho na ipo renewable in each single day

That is way MTU anaweza kukuchezea ukafukuzwa kazi Ila hana uwezo wa kukufanya ukose kazi.

Ni vizuri watu wakaishi kitibeli kwa kuipenda HAKI

Maana ukiipenda haki utakuwa innocence na ukiwa innocence huwezi kurogwa.

Naam Mkuu
 
Umaskini kweli ??? Muafrika alijisahau kabisa and in his inept sees himself clever.
Wahindi hawa kabisaa kila uchao ni maudi kila kona akitema ndumba. Na ndio wanaongoza kwa biashara bongo tena kwa umbali sana . Au hujui ule ni ushirikina ??
Krishna umefuatlia ni nani kiundani??
Wazungu ndo kabisa sitaanza kuiongelea, even the royal British family ni publicly known freemasons ,stop putting your head in the sand open your eyes to the world as it is .
Unaweza chaguo kuignore villify it as much unataka it won't change the fact that the world is run by something more than kinaonekana.
Unajua kuwa inclination ya pyramids ipo on the same degrees as the speed of light?? Is it a coincidence , I've only met one set of magic more advanced than ancient Egypt's, which by the way walikuwa waafrika .
Kwa hiyo kwa mantiki hiyo unamaanisha uchawi unaleta maendeleo?
 
Back
Top Bottom