Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

sawa umeomba uwe na safari njema.ila siku yako ya kifo imefika.
Utakwepa vipi!?
Na unajua Kama kila kitu kinatokea kwa sababu?
Na hata ajali inatokea kwa sababu.
Ndomaana siwez kuabudu miungu yakijinga kama hio. Yani mungu ananiahidi kua nikimuomba atanijibu alafu namuomba nisafiri salama ila yeye anaacha nipate ajali nivunjike?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani we akili zako haziko sawa kabisa
 

Unaweza kusikia mtu anajiita mkiristo huku hata robo ya Biblia hajaisoma ndani ya miaka 5 zaidi anasikiliza Vimstari viwili au Vitatu kanisani na vivyo hivyo kwa waislamu (dini sio jina, ni kuifaham kwa upana)
Mimi ni kati ya watu wachache waliobahatia kuhudhuria makongamano makubwa ya Kikristo na kiislamu kwa asilimia 85hivi; yale yaliofanyika nikiwepo mjini. Naweza kusema namjua Mungu kuliko watu wengine weeeengi

Turudi kwenye mada
Kwa namna yoyote ile, kuhudhuria mihadhara ambayo hata haifanywi kwenye viwanja vya mpira, ni utashi wa mtu.
Sasa kama mtu ataamua kwenda kusikiliza hivi inakuhusu nini???
Nafikiri tufike mahala tuheshimu maisha Binafsi ya watu
Wazungu wapo bize kujenga viwanda na kukuza uchumi sisi tuko bize kuangalia jirani amekula nini/ameenda kusali wapi nk; Itakusaidia nini?????
 
Naona umeandika uchuro tu hapo dada adelina kimambo
 
Wamemuomba Mungu gani wakati Mungu ni mmoja?
Ila Equardo hawakumuomba Mungu anayeitwa Alah (more than 90% ya wananchi ni Christians) kwa sababu hawamuamini.

Sasa huyo mungu aliyesikia maombi yao na akayajibu na akayakacha ya Qatar ni yupi huyo?
 
Kaka JIULIZE kila mtu akiomba awe mzima.hospital zitawapa wapi wagonjwa?
Je madaktari na manesi watafanya kazi gani?wauza majeneza?wachimba makaburi,wauza maua,wauza sanda?viwanda vya kutengeneza madawa?
Kuna watu wanasubiri wewe upate matatizo ili wao waingize pesa.sasa kila Dua ikijibiwa unadhani dunia ingekuwaje?
Ndomaana siwez kuabudu miungu yakijinga kama hio. Yani mungu ananiahidi kua nikimuomba atanijibu alafu namuomba nisafiri salama ila yeye anaacha nipate ajali nivunjike?


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yote uliyosema ni maisha kwa ujumla. Na umemaliza kwa kusema dua na maombi hayafanyi kazi. Tunacho kiishi ndio maisha
 
Ndio kitu ninachosema mm. Uombe usiombe mambo kama ni kutokea yatatokea tu.. so why waste time kuomba kama hutojibiwa? Na unajua kwann hujibiwi? Kwasababu unaemuomba hayupo...[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Kentsuhcy Wrudate biblia ina kitu gani cha maana cha kumfanya muislamu akaacha dini akaenda kuangalia matako ya wakina dada jumapili???
 
1. Nimesikiliza hata maulamaa kadhaa hata wao wanaipinga Qatar vibaya mnoo juu ya suala hili. Wamejichanganya mno aisee. Wao kama wameamua kuandaa Kombe la Dunia wasingeleta hizi mambo za dini.

2. Hizi mada za dini zimekithiri siku hizi @Mexence Melo futeni hizi thread hazina faida zaidi zinatuletea tu uhasama wa kipuuzi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚asa mru akislimu we unapata nini au utapata mtumba wa kanzu na kubanzi kwa wingi mana waslam watakuwa wengi huko...?
Mie kwanza huwa naingia kila dini nasali sijawa biased na upande fulani na ndio Mana nawapigia wimbo waafrika tuwe na dini zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…