Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Huwa kuna muda nawapinga Wamarekani ila baada ya miaka kadhaa nagundua nilikosea. Nilikuwa naunga mkono Qatar kuandaa mashindano haya huku nawaponda Wamarekani waliosema kuna figisu zilitumika. Sasa hivi ndio naamini ni kweli, kombe linaenda kuwa la kijinga kupoteza umaarufu na itakuwa vigumu kwa FIFA kupeleka mashindano haya tena Uarabuni.

Mashabiki wenyewe ndio hawa hapa wameenda kusoma vifungu hapo stadium. Yani mtu anaamini kombe kuwa Qatar ni heshima kwa Uislamu
 
Hapa kwenye neno "neno" weka mungu,tuone hii argument validity yake
 
Mkristu utamsilimisha ila hatakufa akiwa Muslim
Lazima tu atarudi kwenye ukristu
Hapo ndio ujue Yesu ni Bwana
Na Bwana anawajua walio wake
 
Alifanya tukio gani la kigaidi!?..maana unaongea Hadi mate yanaruka
 
Kwa upande wetu hao ndio wanaoitwa akina mwamposa. Mnamuabudu sana aiseee
 
Mimi nilidhani ametua Qatar kuwahamasicha waislamu waandamane kupinga mashindano ya kombe la dunia kufanyika Qatar kwa sababu hayo ni mashindano ya kikafir kwa muislamu anayeijua dini.
Mleta mada kama hufahamu haya, inabidi utambue kuwa.

1. Qatar kwa sasa imejaa pombe za kufa mtu. Watu watakunywa mpaka basi.

2. Qatar kwa sasa kumejaa malaya, makahaba, mashoga wa kila rangi.

3. Qatar kwa sasa kumejaa makampuni ya kamari.

4. Qatar kwa sasa kumejaa maelfu wa wanawake waliovaa mavazi yaliyokosa heshima kwa wanawake wa kiislamu.

5. Qatar kwa sasa kumejaa makundi ya kigalatia yaliyokuja kuhubiri ukristo na tamaduni zake.


Baada ya kwisha kombe la dunia ndio mleta mada utaelewa hichi nilichokiandika, maana utaona athari zake.
 
Kumbuka Drogba naye anaelekea huko huko, bado anawapumbaza lakini nuru ameshaiyona tayari. Kukana kwake ni kuwapumbaza na kuhofia asitengwe.
Drogba akibadili ajabu lipi? Ni binadamu tu. Ukweli haubadiliki sababu ya mtu kubadili dini.

Ukweli ni huu, Yesu alizaliwa na Bikira Maria, akateswa, akafa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka kadri ya maandiko! Akapaa mbinguni, yuko mkono wa kuume mwa Mungu Baba, toka huko atakuja kuhukumu wazima na wafu!

Yesu ndio atayekuja kuhukumu ulimwengu! Usalama wa roho yako ni kuamini na kubatizwa! Ukivumilia hata mwisho UTAOKOKA!

TUMSIFU YESU KRISTO!!!
 
Muhamad hajawah kutumwa na Mungu
 
Hao Qatar kama kweli wasingetaka mambo yanayokuja (yanayoambatana) na kombe la dunia ndani yake ilikua busara kutoomba kuandaa kombe la dunia. Maana sioni msingi wa wao kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kuandaa kombe la dunia ambayo kimsingi hawatapata faida yoyote.
Wao kama kweli taifa la kiislam ilipaswa wasiandae kombe la dunia period.
Wanafiki tu. Mambo ya dini mazito.
 
Nyie walevi wa dini Ni wapumbavu sana, hakuna dini ambayo inaweza simama na kuisemea ubaya dini nyingine, Mimi naamini Mungu Hana dini, angekuwa na dini Basi dunia mzima ingekuwa na dini moja tu na watu wote wangeifuata.

Muislamu, mkristo, myahudi, mbudha, nk wote Ni wa Allah ikiwa watatenda mema n
 
Hata kama wamezuia pombe tutaenda na viroba.Kama wameandaa mashindano kwa lengo la kueneza dini, wamefeli. DUNIANI hakuna mjinga WA kiwango hicho
 
Namuonea wivu atakapo kuwa na bikira 72 akizitindua huko kwa Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…