Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Kama Maskio yana Matundu mengi si amvalishe hijab ama mtandio! Mavazi sio dini!
 

Mimi mwanamke akiwa mpiga fegi wala siulizi mara mbili.
 
Huyo mwanamke ukimuweka ndani akianani utakuja wekwa msukule maana nahisi anapenda sana ushirikina, angalia asije akawa anakula na ndum mkuuu,
Umependewa kazi wewe hakuna kingine.
 
Mpe namba yangu na matatizo yote anayokusababishia yatakwisha mara moja
 
Mkuu huyo oa. Kwa sifa hizo chukua chombo. Wewe mwenyewe unaonekana unampenda lakini unahofia perceptions za watu wengine juu yake. Jua ni wewe ndiye utakaa naye, siyo ndugu zako. Chukua chombo haraka Mkuu.Bahati hizi haziji mara mbili.
 
mapenzi yanabadilisha vingi kaka... kaa chini orodhesha vyote ulivyo na mashaka navyo... halafu mwalike sehem, mweleze ukwel kutoka moyoni.. utamaduni wa kwenu, na baadhi ya vitu alivyonavyo ambavyo si familia tuu hata ndugu na marafiki watakushangaa... tobo zote hizo hua zinaziba asipovaa hereni kwa muda mrefu, na asipovaa hereni hazionekani,
.
.
mweleze vyote, huyo kakupenda shukuru Mungu, wanatabia ya kuweka moyoni na yeye ameshafeel yupo sehemu sahihi, akikubali bas abadilike akisema no siwezi kanyaga clutch tia gear, then washa taa za hatari kanyaga mafuta!! kila la kheri!!
 

Mkuu usipate tabu nipigie pande mimi nimpeleke home kwa maza wataelewana tu
 
Kuna muda mwingine unatakiwa uishi maisha ya wewe kama wewe na sio wewe watakuonaje wengine. Cha msingi ni upendon uwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…