Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.

Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.

Siku moja akiwa Mlimani City kwenye Birthday ya rafiki yake, akakutana na jamaa flani. Anadai jamaa alikuwa kamzidi sana maana yeye kwa kipindi
Sema jamaa naye alikuwa mwaminifu, hakumkana alipoulizwa uhusiano wake na mdada. (Ila inawezekanaje jamaa akubali kumfahamu mdada kwa situation kama ile!?!?! Najiuliza).
 
Sema jamaa naye alikuwa mwaminifu, hakumkana alipoulizwa uhusiano wake na mdada. (Ila inawezekanaje jamaa akubali kumfahamu mdada kwa situation kama ile!?!?! Najiuliza).

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Hata mimi nlijiuliza same question. Huenda alikuwa anampenda kweli ila pia alitaka ambebee zaga. Na ndo maana alikuwa worried hadi kupiga simu na kumtuma tax driver
Pia askari wangejaribu kutambua alikuwa akimpgia nani airport. Inaelekea alikuwa na mtu anayemsaidia kupitisha mizigo pale airport
 
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.

Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.
Kama alikuwa anaenda Moshi why asitumie private transport au hata Basi akaamua kutake risk ya kutumia Ndege wakati anaenda hapa hapa TZ huku akiwa amembebesha mwenzake madawa?hapa naomba ufafanuzi
 
Kama alikuwa anaenda Moshi why asitumie private transport au hata Basi akaamua kutake risk ya kutumia Ndege wakati anaenda hapa hapa TZ huku akiwa amembebesha mwenzake madawa?hapa naomba ufafanuzi
Hujaelewa walienda mosh then KIA kwa ajaili ya safari ya kwenda huko west africa. Airport KIA alikamatwa akiwa anaenda kukwea pipa to Sierra Leone
 
Airport Security Investigation & Banged Up Abroad hivi ni vipindi huwa vinaeleza haya mambo yanawakuta watu kila siku, wengine kabisa wanatumia wheelchair cha ajabu ni wasafirisha Ngada.
 
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.

Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.
Kuna mambo kadhaa yanatia shaka kwenye stori hii, kiasi kwamba yanaonekana kuwa ni hypothetical, hayana ukweli
MOJA: Ticket kukosekana Dar es Salaam halafu kupatikana KIA, hii ni paradox
MBILI: Ticket moja tu kupatikana KIA, na si mbili. Another paradox

Binti huyu alikuwa anajua nini alikuwa anafanya, na possibly siku anakamatwa haikuwa mara yake ya kwanza. Ndiyo maana alifungwa

Miaka takriban 7 binti yuko ndani lazima wapelelezi watakuwa walijiridhisha kabisa kuwa alikuwa ameshakuwa mshiriki kwenye biashara hiyo. Hakuna watu waangalifu kama wapelelezi, na hasa wanapokuwa wanafanyia kazi kesi ya mtu ambaye si adui wa mtu binafsi, bali wa JMT.

Angalau unapokuwa unashtakiana na mtu mwingine, kwa bahati mbaya wakati mwingine inaweza ikatokea mwenzako akakuzidi hoja za mdomoni mahakamani wakati kumbe uko innocent halafu kuzidiwa kwako huko kukawapelekea wakaamua kulingana na ushahidi ambao mwenzako ameutoa na unaaonekana una-sound zaidi kuliko ule wa kwako, wakati kumbe uko innecent ila ni bahati mbaya umezidiwa hoja tu. Tofauti na unapokuwa wewe umeikosea Jamhuri, huwa wanajiridhisha kabisa kuhakikisha kuwa Jamhuri hawaionei, na wewe pia hawakuonei.

Binti angekuwa hajui kitu kabisa kama ulivyoeleza wewe hapa, na mamlaka za upelelezi zikajiridhisha hivyo kwamba alikuwa hajui chochote kabisa kuhusiana na biashara hiyo, angeishia rumande tu na wala asingefungwa.

Kwa inavyoonekana hapa kwenye stori yako, binti huyu alikuwa anajua kabisa na possibly alikuwa ameshafanya mara moja au mara mbili na kufanikiwa, na hivyo siku hiyo nayo pia alikuwa anajua kuwa atafanikiwa.

Kujua huku ndiko kulikopelekea asiwaage wazazi wake. Haiingii akilini kwamba mtu umepata mchumba wa nje tena wa uhakika, unakwenda kutambulishwa kwao halafu asiwaage wazazi wako, badala yake umuage wifi yako tu. Wifi huyu naye ndiye aliyemponza kwa sababu inaonyesha angalau kulikuwa na cheche zilikuwa zinamfikia pasipo wazazi wa binti kujua
 
Kuna mambo kadhaa yanatia shaka kwenye stori hii, kiasi kwamba yanaonekana kuwa ni hypothetical, hayana ukweli
MOJA: Ticket kukosekana Dar es Salaam halafu kupatikana KIA, hii ni paradox
MBILI: Ticket moja tu kupatikana KIA, na si mbili. Another paradox

Binti huyu alikuwa anajua nini alikuwa anafanya, na possibly siku anakamatwa haikuwa mara yake ya kwanza. Ndiyo maana alifungwa

Miaka takriban 7 binti yuko ndani lazima wapelelezi watakuwa walijiridhisha kabisa kuwa alikuwa ameshakuwa mshiriki kwenye biashara hiyo. Hakuna watu waangalifu kama wapelelezi, na hasa wanapokuwa wanafanyia kazi kesi ya mtu ambaye si adui wa mtu binafsi, bali wa JMT. Angalau unapokuwa unashtakiana na mtu mwingine, kwa bahati mbaya wakati mwingine inaweza ikatokea mwenzako akakuzidi hoja za mdomoni mahakamani wakati kumbe uko innocent halafu kuzidiwa kwako huko kukawapelekea wakaamua kulingana na ushahidi ambao mwenzako ameutoa na unaaonekana una-sound zaidi kuliko ule wa kwako, wakati kumbe uko innecent ila ni bahati mbaya umezidiwa hoja tu. Tofauti na unapokuwa wewe umeikosea Jamhuri, huwa wanajiridhisha kabisa kuhakikisha kuwa Jamhuri hawaionei, na wewe pia hawakuonei.

Binti angekuwa hajui kitu kabisa kama ulivyoeleza wewe hapa, na mamlaka za upelelezi zikajiridhisha hivyo kwamba alikuwa hajui chochote kabisa kuhusiana na biashara hiyo, angeishia rumande tu na wala asingefungwa.
Kwa inavyoonekana hapa kwenye stori yako, binti huyu alikuwa anajua kabisa na possibly alikuwa ameshafanya mara moja au mara mbili na kufanikiwa, na hivyo siku hiyo nayo pia alikuwa anajua kuwa atafanikiwa.
Kujua huku ndiko kulikopelekea asiwaage wazazi wake. Haiingii akilini kwamba mtu umepata mchumba wa nje tena wa uhakika, unakwenda kutambulishwa kwao halafu asiwaage wazazi wako, badala yake umuage wifi yako tu. Wifi huyu naye ndiye aliyemponza kwa sababu inaonyesha angalau kulikuwa na cheche zilikuwa zinamfikia pasipo wazazi wa binti kujua
We huoni kuwa boyfriend alikuwa anampanga huyo dada ili ambebeshe unga halafu amtangulize kwanza yeye.
Na ukisoma vizuri walipofika uwanjani KIA kuna mtu alikuwa anampgia simu ila hakupokea, ina maana kwamba pale alikuwa ana mtu wake huenda siku hiyo hakuwepo na ndo maana alitaka watumie uwanja wa KIA.
Kwa akili ya kawaida jamaa alikuwa anamwongopea dada kuhusu ticket kukosekana ili amtangulize
 
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.

Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.

Siku moja akiwa Mlimani City kwenye Birthday ya rafiki yake, akakutana na jamaa flani. Anadai jamaa alikuwa kamzidi sana maana yeye kwa kipindi hicho alikuwa na umri wa miaka 23. Jamaa wakabadilishana namba wakacheza mziki na baada ya hapo wakawa karibu.
Kuna mwingine kaitwa Malta huko kafungua uzi humu anaomba ushauri
 
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura.

Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na chuo cha Bandari. Kama mnavyojua mabinti wa chuo, Manstura alikuwa ni sista du wa ukweli.

Siku moja akiwa Mlimani City kwenye Birthday ya rafiki yake, akakutana na jamaa flani. Anadai jamaa alikuwa kamzidi sana maana yeye kwa kipindi
To cut the story short, Manstura alikamatwa tarehe 12 Feb 2014, amekaa ndani kesi ikiendelea kwa miaka kadhaa. Katoka mwaka huu tarehe 12 Feb. Jamaa amehukumiwa kifungo cha maisha.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
To cut the story short, Manstura alikamatwa tarehe 12 Feb 2014, amekaa ndani kesi ikiendelea kwa miaka kadhaa. Katoka mwaka huu tarehe 12 Feb. Jamaa amehukumiwa kifungo cha maisha.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Yes mkuu, aliingia 12 feb katoka 12 feb yani tarehe ile ile.
Anajuta chuo hakumaliza, katoka gerezani akiwa na elimu ya ujasiriamali na anatengeneza sabuni za maji sasa.
Anasema anataka baadae arudi chuo ila kwa sasa akili yake anahisi haijawa tayari
 
Hata mimi nlijiuliza same question. Huenda alikuwa anampenda kweli ila pia alitaka ambebee zaga. Na ndo maana alikuwa worried hadi kupiga simu na kumtuma tax driver
Pia askari wangejaribu kutambua alikuwa akimpgia nani airport. Inaelekea alikuwa na mtu anayemsaidia kupitisha mizigo pale airport
Unajua ambacho kinaweza kuwa kilitokea? Baada ya binti kuwa amekamatwa akiwa kwenye check-in counter, saikolojia ya askari wa Airport itakuwa iliwatuma kuwa huyu mtu hayuko peke yake, lazima yuko na mwenzake maeneo yale karibu.
Na kwa sababu binti alikuwa anajua amebeba nini atakuwa alipewa maalekezo na mchumba wake kuwa in case of anything abnormal, wakikuuliza uko na nani, sema niko peke yangu!

Baada ya askari kumkamata na kumhoji uko na nani na mwenyewe kusema yuko peke yake.......... hapo ndipo kosa kla kwanza lilipofanyikia. Hapo hapo askari wakawa wamejua moja kwa moja kuwa huyu mtu atakuwa yuko na mwenzake nje ya uwanja ambaye yeye hasafiri leo, ametanguliza mizigo tu

Muda huo huo watakuwa waliondoka watu wa kawaida sana na kuanza ku-survey maeneo ya uwanja, nje ya uwanja ikiwa ni pamoja na kwenye parking za magari

Baadaye watakuwa walisport sehemu zote ambazo kulikuwa na angalau watu waliokuwa wana hamu sana iliyochanganyikana kidogo na bashasha, wakisubiria ndege fulani iruke, wakati wao siyo wasafiri, au waliokuwa wamekaa ndani ya gari kwenye parking, na kwa aina ya usiri wa namna fulani hivi isiyokuwa ya kawaida, huku waki-pretend kuwa wako kawaida

Hakuna derreva tax aliyetumwa kwenda kumwangalia msafiri, dili kubwa la namna hii haliwezi kufanywa kizembe hivyo
Huyo jamaa aliyekuwa nje anasubiria, atakuwa alikamatwa na askari wenywe tu kwakiwa wanatumia saikolojia yao tu na si dereva tax aliyesababisha jamaa huyo kumakatwa
 
We huoni kuwa boyfriend alikuwa anampanga huyo dada ili ambebeshe unga halafu amtangulize kwanza yeye.
Na ukisoma vizuri walipofika uwanjani KIA kuna mtu alikuwa anampgia simu ila hakupokea, ina maana kwamba pale alikuwa ana mtu wake huenda siku hiyo hakuwepo na ndo maana alitaka watumie uwanja wa KIA.
Kwa akili ya kawaida jamaa alikuwa anamwongopea dada kuhusu ticket kukosekana ili amtangulize
Angalia muda ambao wamedumu kwenye mahusiano na ndiyo utakubaliana na mimi kuiwa binti alikuwa anajua dili. Asingekuwa anajua, asingefungwa!
 
Back
Top Bottom