Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Angalia muda ambao wamedumu kwenye mahusiano na ndiyo utakubaliana na mimi kuiwa binti alikuwa anajua dili. Asingekuwa anajua, asingefungwa!
Madada unawajia unawaskia. Ukiwa na pesa hata ndani ya week unaweza mpeleka dsda kokote. Wana roho ngumu sana.
Kama dada unakutana naye mtandaoni hakujui unamwita kwako anakuja peke yake, si roho ngumu hiyo.
 
Sometimes akili inakuwa kama imefungwa,unakuja kushtuka too late.
 
Kama alikuwa anaenda Moshi why asitumie private transport au hata Basi akaamua kutake risk ya kutumia Ndege wakati anaenda hapa hapa TZ huku akiwa amembebesha mwenzake madawa?hapa naomba ufafanuzi
Hapana hajaenda Moshi kwa ndege. Ticket za kwenda huko walikokuwa wanaenda, Dar hazikuwepo, ila zilikuwepo KIA kwa hiyo ili wakapandie huko. Wewe ulishawahi kuona kitu kama hiki wakati huu wa utandawazi? Walienda Moshi kwa usafiri gani, hilo halijasemwa. Hawa watu walikuwa kwenye dili na binti alikuwa anajua, hakubebeshwa!
 
Mkuu mimi nimesunnerize story maana nisingeweza kuandika kila kitu story kahadithia kipindi chote cha saa 2 nisingeweza kuandika kila detail.
Kahadithia mpaka maisha ya jela, wakili wake kamtaja jina, mahakimu wote walioendesha kesi, wa kwanza aliondoka akaikamata mwingine ndiye aliiendesha mpera mpera mpaka akatoka.
Mwaka 2018, mwendesha mashitaka alisema hana nia ya kuendelea na hiyo kesi akaachiwa, ile anafika nje akadakwa kumbe waliifunga na kuifungua tena upya.
Kuna mambo mengi sana alihadithia
 
Nimesoma na mtu anaitwa mastura abdul probably Ni yeye kwa kuwa amesema alisoma arusha namfahamau vzr huyu mtoto
 
Nimesoma na mtu anaitwa mastura abdul probably Ni yeye kwa kuwa amesema alisoma arusha namfahamau vzr huyu mtoto
Jina la ukoo wao nmelisahau alisema ni maarufu pale moshi.
 
Madada unawajia unawaskia. Ukiwa na pesa hata ndani ya week unaweza mpeleka dsda kokote. Wana roho ngumu sana.
Kama dada unakutana naye mtandaoni hakujui unamwita kwako anakuja peke yake, si roho ngumu hiyo.
Hahaha hii kweli kabisa hawa watu wanakua na ujasiri wa hali ya juu sana, hakujui wala hajawahi kukuona lakini anakuja mafichoni bila chembe ya hofu kama mmejuana miaka 5 iliyopita.
 
Madada unawajia unawaskia. Ukiwa na pesa hata ndani ya week unaweza mpeleka dsda kokote. Wana roho ngumu sana.
Kama dada unakutana naye mtandaoni hakujui unamwita kwako anakuja peke yake, si roho ngumu hiyo.
Alivokuja peke yake ukamfanyaje?
 
Hahaha hii kweli kabisa hawa watu wanakua na ujasiri wa hali ya juu sana, hakujui wala hajawahi kukuona lakini anakuja mafichoni bila chembe ya hofu kama mmejuana miaka 5 iliyopita.
Wana ujasiri wa hali ya juu na hasa wakiona pesa. Kuna mke wa jamaa yangu ananiambiaga kipindi ameanza date na rafiki yangu alikuwa anahisi anauza unga kwasababu alikuwa mara nyingi anamkuta ana bag la pesa kwenye gari halafu anaenda badilisha hilo bag na watu flani au anapokea bag la pesa toka kwa mtu kwenye parking.
Lakini na kuona hayo yote hakuwa na wazo la kujiepusha naye, kisa alikuwa anamhudumia
 
Huwa nakitizama hicho kipindi. Kuna kingine kinaitwa "Airport Sericuty". Akina dada wanaingizwa mkenge kwa jina la mapenzi. Wengine wanakubali kubeba lakini pia wapo wanaowekewa katika suitcase bila kujua.
 
Kuna masista du wengine nilisoma nao chuo back n days, wapo India wanatumikia miaka yao, mabinti wa kibongo wanapenda shortcuts sana, mimi kuna msenge nliwahi mnunulia iPhone 8 enzi hizo penzi bado la moto na sina majukumu baadae akapata foreigner akamdanganya anafanya kazi ubalozi fulani, akampangishia nyumba nzima ushuani Dar na mtaji wa duka milioni 17 akampatia, mm kuona vile nikakaa pembeni japo alinisihi nisifanye hivyo kwa kua kule alifuata pesa akataka niendelee kuichakata, kwa kua nami mambo yangu yalikua fresh nikamshit, maana siwezi share penzi kwa kufahamu kabisa, otherwise niwe sijui, nikatafuta chimbo jipya, nimekutana nae juzi mjini hata haelewi kama Msimbazi iko kariakoo, ananisimulia story ndeeeefu ambayo haina impact kwangu, inshort alikamatika baadae hajui anaanzia wapi
 
Wapopo siyo watu wazuri. Ni hatari sana mkuu tamaa zitawaua.
 
Mwanza airport wapo na ndoo za plastic za fillet za sato. Huwa nakataa. Unaweza kuishia kunyongwa for nothing. Wema wa airport wa kuchukuwa mzigo wa mtu ni wema wa kijinga.
 
Huwa nakitizama hicho kipindi. Kuna kingine kinaitwa "Airport Sericuty". Akina dada wanaingizwa mkenge kwa jina la mapenzi. Wengine wanakubali kubeba lakini pia wapo wanaowekewa katika suitcase bila kujua.
Ni kweli wanawake huwa ni victims huingiliwa kwa gear ya mapenzi, au wengine huwekewa bila wao kujua Matokeo yake huwa ni kudakwa hasa wale walinzi wakibadilishwa. So vipindi ka hivo vinaelimisha sema watu hawavipendi wanapenda miziki
 
Walitaka wakubebeshe mzigo. Hakuna kumwamini mtu ukiwa safarini maana unaweza kujikuta uko kwenye matatizo makubwa
Yani na tulikuwa watu wengi wakanifata Mimi eti niwasaidie wamezidiwa woooi nilivokumbuka hicho kipindi cha national geographic nikasema shindwa shetani hunipati ng'o nikakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…