Kwa hiyo akisubiri umtongoze mara mia ndio atakuwa amejua size ya mashine yako?Kweli aisee kwa mfano unakuta unamtongoza mdada kwa mara ya kwanza anaingia kingi!!?
hajui hata kama mashine yangu ni ndefu kama nyoka inaweza mtokea mdomoni!!??
yy anaingia tu jumla jumla ilhali hanijui!?
wadada wote hongereni kwa ujasili wa asili
Nasikia yule mzee Baba lazima achungulie ndogo!Nikikumbuka Hamisa alivyomegwa na yule bonge nyanya na huko mitandaoni sie wakibongo tukaonekana si kitu.. Nadhani kuna masomo inabidi tuwafunze wadogo zetu
Walau akuone mara mbili tatu nne lazima atakuwa amekukadiria!Kwa hiyo akisubiri umtongoze mara mia ndio atakuwa amejua size ya mashine yako?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ww jamaa bana bora uendelee kuandika hivyo hivyo noma sana!!Noma sana!
Kama ni kukadiria anaweza kufanya hivyo hata siku ya kwanza tuWalau akuone mara mbili tatu nne lazima atakuwa amekukadiria!
Mdogo wake Wema Sepetu Alu John tena mwanachuo nae yuko ndani anakula ugali wa bure kwa kesi ya madawa yeye na bwana ake...Hatari sana hii kuamini watu hovyo Kuna kipindi huonyeshwa national geographic kuhusu Hawa wadada wanavodaganyika na kuishia kukamatwa na kuteseka huwa kina funzo zuri sana. Siku moja nilikuwa airport nikashangaa wamekuja wakaka wananiomba niwasaidie mzigo wao mdogo eti kwa uzito umezidi nikikumbuka matukio ya watu kubebeshwa madawa bila kujua nikashtuka sana
[emoji1][emoji2][emoji2]hajui km msimbazi ipo kariakoooKuna masista du wengine nilisoma nao chuo back n days, wapo India wanatumikia miaka yao, mabinti wa kibongo wanapenda shortcuts sana, mimi kuna msenge nliwahi mnunulia iPhone 8 enzi hizo penzi bado la moto na sina majukumu baadae akapata foreigner akamdanganya anafanya kazi ubalozi fulani, akampangishia nyumba nzima ushuani Dar na mtaji wa duka milioni 17 akampatia, mm kuona vile nikakaa pembeni japo alinisihi nisifanye hivyo kwa kua kule alifuata pesa akataka niendelee kuichakata, kwa kua nami mambo yangu yalikua fresh nikamshit, maana siwezi share penzi kwa kufahamu kabisa, otherwise niwe sijui, nikatafuta chimbo jipya, nimekutana nae juzi mjini hata haelewi kama Msimbazi iko kariakoo, ananisimulia story ndeeeefu ambayo haina impact kwangu, inshort alikamatika baadae hajui anaanzia wapi
Wee ndo wajua hvyooo!Hahahahahaha...wanawake tufute akilini mwetu kitu inaitwa ndoa, nadhani hakutakuwa na vilio[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
Hawa watu hawanaga shukrani kuwabali haraka haraka shidaa,kuwapa miezi taabu!sijui tufanyeje sasa!Kwa hiyo akisubiri umtongoze mara mia ndio atakuwa amejua size ya mashine yako?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapo umefanya generalization, ambayo siyo sahihiHawa watu hawanaga shukrani kuwabali haraka haraka shidaa,kuwapa miezi taabu!sijui tufanyeje sasa!
Ukimpa siku ya kwanza anakuandika amekukula kimasihara!
sikumbukagi kabisa.
Wanafikiri alimkubali kwa kupenda? Alilazimishwa kumkubali lakini kwa ilivyo atatoka na rufaa maana yeye hakukamatwa na hayo madawahaujawahi kubanwa pumbu?
Huyu binti hakufungwa aliendesha kesi akiwa mahabusu elewa moralstory mkuuKuna mambo kadhaa yanatia shaka kwenye stori hii, kiasi kwamba yanaonekana kuwa ni hypothetical, hayana ukweli
MOJA: Ticket kukosekana Dar es Salaam halafu kupatikana KIA, hii ni paradox
MBILI: Ticket moja tu kupatikana KIA, na si mbili. Another paradox
Binti huyu alikuwa anajua nini alikuwa anafanya, na possibly siku anakamatwa haikuwa mara yake ya kwanza. Ndiyo maana alifungwa
Miaka takriban 7 binti yuko ndani lazima wapelelezi watakuwa walijiridhisha kabisa kuwa alikuwa ameshakuwa mshiriki kwenye biashara hiyo. Hakuna watu waangalifu kama wapelelezi, na hasa wanapokuwa wanafanyia kazi kesi ya mtu ambaye si adui wa mtu binafsi, bali wa JMT. Angalau unapokuwa unashtakiana na mtu mwingine, kwa bahati mbaya wakati mwingine inaweza ikatokea mwenzako akakuzidi hoja za mdomoni mahakamani wakati kumbe uko innocent halafu kuzidiwa kwako huko kukawapelekea wakaamua kulingana na ushahidi ambao mwenzako ameutoa na unaaonekana una-sound zaidi kuliko ule wa kwako, wakati kumbe uko innecent ila ni bahati mbaya umezidiwa hoja tu. Tofauti na unapokuwa wewe umeikosea Jamhuri, huwa wanajiridhisha kabisa kuhakikisha kuwa Jamhuri hawaionei, na wewe pia hawakuonei.
Binti angekuwa hajui kitu kabisa kama ulivyoeleza wewe hapa, na mamlaka za upelelezi zikajiridhisha hivyo kwamba alikuwa hajui chochote kabisa kuhusiana na biashara hiyo, angeishia rumande tu na wala asingefungwa.
Kwa inavyoonekana hapa kwenye stori yako, binti huyu alikuwa anajua kabisa na possibly alikuwa ameshafanya mara moja au mara mbili na kufanikiwa, na hivyo siku hiyo nayo pia alikuwa anajua kuwa atafanikiwa.
Kujua huku ndiko kulikopelekea asiwaage wazazi wake. Haiingii akilini kwamba mtu umepata mchumba wa nje tena wa uhakika, unakwenda kutambulishwa kwao halafu asiwaage wazazi wako, badala yake umuage wifi yako tu. Wifi huyu naye ndiye aliyemponza kwa sababu inaonyesha angalau kulikuwa na cheche zilikuwa zinamfikia pasipo wazazi wa binti kujua
Nani kakuambia alifungwa?Angalia muda ambao wamedumu kwenye mahusiano na ndiyo utakubaliana na mimi kuiwa binti alikuwa anajua dili. Asingekuwa anajua, asingefungwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38] nimecheka sana[emoji1][emoji2][emoji2]hajui km msimbazi ipo kariakooo