Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Amini usiamini hilo choko ukilirudia litakusumbua hadi unaingia kaburini.

Baadhi ya mabinti ni zaidi ya mashetani na hilo choko lenye komwe likiwemo.
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje

Alafu kuna Watu wanawalaumu single mother Wakati wapo wanaume pia wenye tabia zilezile.
Mwanaume hawezi kosa maamuzi na msimamo.
Huyo sio mwanaume labda shoga
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Hakuna mwenye each and everything anayemtaka ndo maana anakutaka wewe
 
Usithubutu ebu Move on na wewe, kwa hiyo unataka umuache binti wa watu uliyemtia mimba kisa uyo gendaeka anayeenda na kurudi. Acha hizo.
 
Acha ufala wewe yaani una dem mwingine na ana mimba alafu unataka kurudia taka taka iliyokukimbia kwenye shida utakuwa na matope kichwani wewe!
 
Kabla hata sijasoma ndani ila nimesoma tu heading huyo mwanamke hakufai kabisa.
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Mrudie ili ukitemwa kazini tena akuache uje ulie lie hapa tena.
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Run nigger run...
 
Huyo hafai hata kuwa mchepuko mkuu anapenda hali ya maisha uliyonayo sio wewe kuna muda penye kutumia akili tusitumie hisia mkuu ni hayo tu boss mwisho maamzi ni juu yako urudi au uchili na huyo mwenye ujauzito 😀
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Soma ulichokiandika alafu lala ukiamka utapata jibu ! ichi kitu sio cha kuomba ushauri , yani ww mtu alikuacha kisi tuu uliachishwa kazi alafu Leo upo na mtu mwingine Tena umesema kabc ni mjamzito Tena ni mimba Yako ! bro be like man
 
Back
Top Bottom