Binti mdogo anayemfungia ndani Mama yake mgonjwa aliyepooza kutwa nzima na kwenda kutafuta pesa za kumuhudumia inaumiza wengi mtaani

Binti mdogo anayemfungia ndani Mama yake mgonjwa aliyepooza kutwa nzima na kwenda kutafuta pesa za kumuhudumia inaumiza wengi mtaani

Akipata kitu Cha kumtoa nje, nani atamwangalia wakati wa mchana mjukuu na Binti wanapokya hawapo nyumbani?
jirani anaweza fanya hiyo kazi nafikiri maana ni kitendo cha dakika kadhaa kumtoa nje endapo atapata kiti cha kusukuma
 
Duuh asee kuna siku jamaa alisema kwa uchungu siku akimwona mungu atamuuliza kwann wengine wanaishi maisha ya mateso kwann unampa ulemavu maskini asiye jiweza kwann Mungu ...hata mimi bado najiuliza sana uwepo rehema za mungu na bado maisha duni. mungu anafurahia nini kutizama mtu anateseka kiasi hicho???
 
Ni Binti mdogo mwenye umri wa miaka 23,na mwenye mtoto mmoja Familia hii haina Baba kwani baba yao alishafariki Miaka mingi iliyopita na kijana aliyempa mimba binti alimtelekeza tangu mtoto akiwa ana miezi 6.

Mama wa huyu binti ana umri wa miaka 63 alikuwa mzima kabisa tangu kuzaliwa huku akifanya vibarua vya hapa na pale lakini miaka sita iliyopita ghafla alipata tatizo hili la kupooza viungo vya mwili, ulimi kuwa mzito na hivyo kushindwa kuongea vizuri, pamoja na kuzimia mara kadhaa kila wiki tatizo linalooendelea hadi sasa.

Kutokana na uwezo duni wa hii familia walishindwa kumpeleka Hospital kubwa kwa uchunguzi zaidi

Binti huyu amepangisha chumba kimoja kidogo akiwa yeye, mtoto wake wa kiume na mama yake huyo huku pembeni kukiwa na Ndoo yenye mfuniko wake ambae mama huyo hutumia kama choo usiku na mchana.

Alfajiri binti hujihimu kuandaa chai kwa ajili ya mama na mtoto wake ambae nae huenda shule na kumfungia mama yake ndani huku ufunguo akiacha kwa jirani hadi mwanae huyo ambae yuko la kwanza atakaporudi mchana na kumpa bibi yake chakula kilichopikwa usiku wa jana yake kwa ajili ya mlo wa mchana, hapo watajifungia ndani wote hadi binti atakaporudi saa moja usiku toka kibaruani.

Mara kadhaa bibi huyo amekuwa akizimia humo ndani na mjukuu huyo humwacha hivyo hivyo hadi fahamu zitakaporejea. Binti hiyo nilipata nafasi ya kumuuliza anagunduaje kama mama yake alizimia mchana na kunijibu kuwa hugundua hilo kutokana na kinyesi kutapakaa kitandani au chini au majeraha atakayomkuta nayo pindi arudipo jioni..

Kama kuna Umuhimu wa kuweka picha ya huyo Bibi mgonjwa basi ntaweka hapa.

Na hata kama kitapatikana wheelchair ♿ kwa ajili ya kumtoa nje wakati wa kuota jua pia itakuwa msaada mkubwa kwenye familia hii.

Wito wangu kwa Serikali iangalie Namna ya kusaidia aina hii ya wagonjwa kwani wapo wengi wanaopitia tabu na inatesa sana familia kwa kuwaletea umaskini na usongo mkubwa wa Mawazo.
serikali yetu inahangaika kuhudumia watu wenye uwezo kama wasanii ili mradi kupata attention ya watu.
 
Weka namba za simu either ya kwako au huyo dada ili watu waweze kumsaidia,weka picha ambayo haitadhalilisha bali itaonyesha uhalisia ili watu waweze kuguswa na kusaidia.Namba yako pia ni muhimu ili uweze kutoa msaada utakaohitajika kwani kuna watu huo uwezo wanao,hata kama hawana basi wale wenye kidogo wataweza kusaidia kwa chochote...
 
Ni Binti mdogo mwenye umri wa miaka 23,na mwenye mtoto mmoja Familia hii haina Baba kwani baba yao alishafariki Miaka mingi iliyopita na kijana aliyempa mimba binti alimtelekeza tangu mtoto akiwa ana miezi 6.

Mama wa huyu binti ana umri wa miaka 63 alikuwa mzima kabisa tangu kuzaliwa huku akifanya vibarua vya hapa na pale lakini miaka sita iliyopita ghafla alipata tatizo hili la kupooza viungo vya mwili, ulimi kuwa mzito na hivyo kushindwa kuongea vizuri, pamoja na kuzimia mara kadhaa kila wiki tatizo linalooendelea hadi sasa.

Kutokana na uwezo duni wa hii familia walishindwa kumpeleka Hospital kubwa kwa uchunguzi zaidi

Binti huyu amepangisha chumba kimoja kidogo akiwa yeye, mtoto wake wa kiume na mama yake huyo huku pembeni kukiwa na Ndoo yenye mfuniko wake ambae mama huyo hutumia kama choo usiku na mchana.

Alfajiri binti hujihimu kuandaa chai kwa ajili ya mama na mtoto wake ambae nae huenda shule na kumfungia mama yake ndani huku ufunguo akiacha kwa jirani hadi mwanae huyo ambae yuko la kwanza atakaporudi mchana na kumpa bibi yake chakula kilichopikwa usiku wa jana yake kwa ajili ya mlo wa mchana, hapo watajifungia ndani wote hadi binti atakaporudi saa moja usiku toka kibaruani.

Mara kadhaa bibi huyo amekuwa akizimia humo ndani na mjukuu huyo humwacha hivyo hivyo hadi fahamu zitakaporejea. Binti hiyo nilipata nafasi ya kumuuliza anagunduaje kama mama yake alizimia mchana na kunijibu kuwa hugundua hilo kutokana na kinyesi kutapakaa kitandani au chini au majeraha atakayomkuta nayo pindi arudipo jioni..

Kama kuna Umuhimu wa kuweka picha ya huyo Bibi mgonjwa basi ntaweka hapa.

Na hata kama kitapatikana wheelchair [emoji708] kwa ajili ya kumtoa nje wakati wa kuota jua pia itakuwa msaada mkubwa kwenye familia hii.

Wito wangu kwa Serikali iangalie Namna ya kusaidia aina hii ya wagonjwa kwani wapo wengi wanaopitia tabu na inatesa sana familia kwa kuwaletea umaskini na usongo mkubwa wa Mawazo.
Habari hii ni muhimu sana.
 
Ni Binti mdogo mwenye umri wa miaka 23,na mwenye mtoto mmoja Familia hii haina Baba kwani baba yao alishafariki Miaka mingi iliyopita na kijana aliyempa mimba binti alimtelekeza tangu mtoto akiwa ana miezi 6.

Mama wa huyu binti ana umri wa miaka 63 alikuwa mzima kabisa tangu kuzaliwa huku akifanya vibarua vya hapa na pale lakini miaka sita iliyopita ghafla alipata tatizo hili la kupooza viungo vya mwili, ulimi kuwa mzito na hivyo kushindwa kuongea vizuri, pamoja na kuzimia mara kadhaa kila wiki tatizo linalooendelea hadi sasa.

Kutokana na uwezo duni wa hii familia walishindwa kumpeleka Hospital kubwa kwa uchunguzi zaidi

Binti huyu amepangisha chumba kimoja kidogo akiwa yeye, mtoto wake wa kiume na mama yake huyo huku pembeni kukiwa na Ndoo yenye mfuniko wake ambae mama huyo hutumia kama choo usiku na mchana.

Alfajiri binti hujihimu kuandaa chai kwa ajili ya mama na mtoto wake ambae nae huenda shule na kumfungia mama yake ndani huku ufunguo akiacha kwa jirani hadi mwanae huyo ambae yuko la kwanza atakaporudi mchana na kumpa bibi yake chakula kilichopikwa usiku wa jana yake kwa ajili ya mlo wa mchana, hapo watajifungia ndani wote hadi binti atakaporudi saa moja usiku toka kibaruani.

Mara kadhaa bibi huyo amekuwa akizimia humo ndani na mjukuu huyo humwacha hivyo hivyo hadi fahamu zitakaporejea. Binti hiyo nilipata nafasi ya kumuuliza anagunduaje kama mama yake alizimia mchana na kunijibu kuwa hugundua hilo kutokana na kinyesi kutapakaa kitandani au chini au majeraha atakayomkuta nayo pindi arudipo jioni..

Kama kuna Umuhimu wa kuweka picha ya huyo Bibi mgonjwa basi ntaweka hapa.

Na hata kama kitapatikana wheelchair ♿ kwa ajili ya kumtoa nje wakati wa kuota jua pia itakuwa msaada mkubwa kwenye familia hii.

Wito wangu kwa Serikali iangalie Namna ya kusaidia aina hii ya wagonjwa kwani wapo wengi wanaopitia tabu na inatesa sana familia kwa kuwaletea umaskini na usongo mkubwa wa Mawazo.
Video please
 
Duuh asee kuna siku jamaa alisema kwa uchungu siku akimwona mungu atamuuliza kwann wengine wanaishi maisha ya mateso kwann unampa ulemavu maskini asiye jiweza kwann Mungu ...hata mimi bado najiuliza sana uwepo rehema za mungu na bado maisha duni. mungu anafurahia nini kutizama mtu anateseka kiasi hicho???

Watu wengine hupitishwa ktk magumu ili wewe upate kumshukuru na kumuabudu Mungu
 
Watu wengine hupitishwa ktk magumu ili wewe upate kumshukuru na kumuabudu Mungu
Asee kweli atese mtu mwingine ili yeye aabudiwe kweliii hii ni sawaa ...kwann asitumie mbinu nyingine kujipatia hizo ibada kuliko kitesa wengine asee...
 
Cha kufanya :

  • weka location wanapokaa.
  • weka namba ya mhusika.
  • watu wana utayari wa kusaidia..
  • uswahili umekuwa mwingi
 
Imeniuma sana, maisha tunayo ishi watanzania niya uchungu Sana. Kuna watu wanaisha kwa tabu sana na huzuni nyingi.
 
alafu kuna jamaa leo hii ameishaingiza mil 50 na ushee na analalamika maana alitegemea mil 100 nakuendelea, wewe massawe kuja usome hii ujifunze kitu, usijione mungu mtu.
 
Halafu utakuta fisadi limekaa baa viti virefu anapiga bia ya bei mbaya!! Ombi langu, nawaomba watu wa namna hiyo wajaribu kutoa mchango kwa mateso kama haya..
 
Km inawezekana tupate mawasiliano ya binti tumsaidie chochote.
Weka namba za simu either ya kwako au huyo dada ili watu waweze kumsaidia,weka picha ambayo haitadhalilisha bali itaonyesha uhalisia ili watu waweze kuguswa na kusaidia.Namba yako pia ni muhimu ili uweze kutoa msaada utakaohitajika kwani kuna watu huo uwezo wanao,hata kama hawana basi wale wenye kidogo wataweza kusaidia kwa chochote...

Cha kufanya :

  • weka location wanapokaa.
  • weka namba ya mhusika.
  • watu wana utayari wa kusaidia..
  • uswahili umekuwa mwingi
Nilikuwa nasubir niombe ridhaa yake kama atakubali kuweka namba yake mtandaoni. Amekubali na ntafanya hivyo pale juu kwenye uzi
 
Back
Top Bottom