Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

Unayemgegeda hakopeshwi anapewa..!
 
Mapenzi ni UJAMAA SIO UBEPARI
Amka usingizini
 
Piga chini
 
SAHAU KURUDISHIWA
 
Huna hela afu unatongoza tongoza hovyo ukiombwa hela unakuja kulalamika huku SASA UNATONGOZA YA NINI UNATAKA KUGUNDUA NINI? KAMA VOCO ZINAFANYA KAZI VIZURI AU ENEWEI BHNA
 
Unaibiwa

Na ni njia ya kukataliwa pia....

Kama una hela za mawazo usitoe
 
Tanzania hali mbaya ya kiuchumi inakuamulia uwe KAHABA au KIBAKA..
 
Ni mtazamo wako, sisi ma don tunatafuta pesa ili tujifurahishe wenyewe na ndugu zetu, nyie makapuku ndo mnataka kuwaridhisha wanawake duuh!
Huyo kijana hana Akili, unaanzaje kuhonga bila mpango na unae mhonga? Mnafahamiana wiki mbili tayari unaanza kumwaga mpunga hata mwanamke atakuona hujielewi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wala hauhitaji kuwa na mambo mengi mkuu, cha kufanya muite aje getho kuchukua hiyo pesa and then tengeneza mazingira ya kula Mbususu ipasavyo na baada ya hapo ndo umpatie hiyo pesa

Akikataa kutoa mbususu, ataondoka kama alivyokuja
Mbususu. ...daaaha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…