Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

Huyo kaamua vita mapema, mwambie aje lodge flani na taja namba ya chumba ila mwambie una 50k. Hiyo 50k nyingine unalipia chumba.

Kama yeye hajakuonea aibu kukuomba hela, hutakiwi na wewe umuonee aibu. Kwa wakongwe tunajua huyo ni muuzaji
 
Sana mkuu, jamaa asipokuwa makini soon ataleta uzi mwingine wa kulialia.

Kitachofuata hapo ni kutolipwa hiyo 100k halafu binti akishaona kumbe jamaa hana mkono mfupi atafanya jaribio la kombora lingine akishafanikiwa ndo bas tena na kumla ni probability
Hapo atapigwa mtu, bora ampe 20 af nyengine amwambie aifate geto baadae😅 anampiga mkojo kisha anampa 30 tu kesi inaishia hapo.
 
Wakuu habari za muda huu,

Nisiwachoshe na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.

Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.

Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.

Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Mzee unataka kucheza KEUSI na KEKUNDU hapo,unaweza usulipwe na usipate ile HUDUMA yetu pia
 
Kama hujagundua siku hizi wamekuja na mbinu mpya ya kukupa za uso nayo kukupiga kizinga heavy wakijua kabisa ndiyo tiketi yako ya kusema bye bye
Yani wanawake bana wajanja sana 😅 hapo anakupiga mzinga sababu hajakupenda. Anajua kabisa unaweza ukakataa au ukataka sifa ukampa hio hela.

Ukimpa kweli unakuwa umempa faida. Atakuingiza kwenye list yake ya zile ng’ombe za kumpaga hela kila akipata shida. Ukimkatalia pia utakuwa umemfaidisha kwa kumuondolea kero sababu ungekuwa huna msaada wa kipesa kwake.

Ukimpa hela kama ni muungwana chances za kukupa mbunye ni 70% ila atakupa baada ya kula kula hela zako. Kisha ndio atakuwa amekufanya ATM rasmi.
 
Wakuu habari za muda huu,

Nisiwachoshe na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.

Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.

Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.

Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Mkuu km dem anakula mitungi na una gar mpe hiyo...!!! Huyo ataliwa kwa budget ya laki 2/1.5 kwa vgezo vilivyoainishwa hapo juu... mpe hyo hela then ucmuulize chchte kuhusu hiyo hela baada ya hapo ofa ndogo km mbili zczozd elfu 20 unaweza ukamto lunch tu then tafuta cku ambayo yupo free muombe akusindikize sehem au km anapenda ofa mwambie maomba nikupeleke sehem ila ucmwambie wap mchukue then hakikisha unampeleka mbali sana nje ya mji ambako itamlazimu wkt wa kurud kivyovyote ategemee usafiri wako mkuu shughili itakuwa imeisha maana mpini utakuwa ndio umeshika mpini.

Nb: hakikisha n pini kali km co pini kali pga chini
 
Kama Ela unayo, na hicho kiasi Kiko ndani ya uwezo wako, Wewe mpe tuu,
Ila kwasababu ushamtongoza usiwe na mategemeo Sana ya kurudishiwa iyo pesa[emoji4]
Mkuu atoe KODI YA MEZA kabla ya huduma?[emoji28]
 
Wakuu habari za muda huu,

Nisiwachoshe na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.

Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.

Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.

Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Mwambie akaazime kwa baba yake
 
Huyo Anataka Kukuuzia kwa Laki, tengeneza Mazingira Ya Kumpelekea moto....then Mpe 100,000 yake ubaya ubaya tuu.

Ukimpa hiv iv anaweza kukuona Mzembe...Hana nia na wew Huyo Malaya ndoo Maana Hakuonei Haya kuomba hela wakat anajua unamtaka.

Wala haogopi kua ataonekana ana tamaa
Ushauri huu ni wakuzingatia zaid
 
Ukitoa hizo atajua unazo...halafu kamchezo kakuomba pesa ndio kataanza rasmi ....

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanawake wamekuwa wajanja sana..

Hapo asipompa hiyo laki demu atampotezea kwa kumuona choka mbaya tu au bahili..na akimpa demu ataona amepata danga jipya la kulinyonya damu na shughuli ya vizinga/virungu itaanza rasmi.
 
Wanawake wa siku hizi wanna akili saana kuliko wa zamani

Zamani binti kama hakutaki alikuwa hataki hata kukutana na wewe
Hawa awamu hii wakakaa kikao wakajadili kwamba kumwambia mtu mzima mwenzio kwamba sikutaki siyo ustarabu

Wengi wao wakaona iwe fursa yaani ukiona mtu hujamwelewa lakini yeye kang'ang'ana wewe shusha nyavu zako vua kadri ya uwezo wako
Vijana wengi mmejikuta mko njia panda kwa kukosa maarifa

"MWANAMKE MWENYE NIA NZURI HAKUOMBI HELA"
Labda awe amebanwa kwelikweli

100000 kwa hapa uswahilini kwetu ni kodi ya miezi 5
Akili kichwani[emoji119][emoji23]

Sent from my T702 using JamiiForums mobile app
 


Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu

 
Back
Top Bottom