Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
siwezi kuingia darasa lolote kwa sasa, kuna vitu havifundishiki ndio maana hakuna mtaala wa hayo mambo.kuna darasa la kuelewa whatsapp uje
Dada anazingua tu binafsi kumpa mtu ninae mpenda kitu sio lazima aniombe au atilie mkazo as if anafanya biashara ya mahusiano .Wakimya huwa hatupendi malumbano amani muda wote
Salama hapo migombani??
Kwamba na wewe una darasa? πππnasemje na bado
vya bure wanawake hawatakupa tena wacha waje kwenye darasa langu la femininne
usisahau kupost na kitabu cha why are you commenting kwa uzi wa wanawake
atanipwelepweta huyoAnza na mleta mada
πππ Nitakutunza kama mboni ya jicho kwa fedha , na kimwili.. furaha Yako ndio afya yanguuje whatsapp mbona haujafika?
we unaonaje?Kwamba na wewe una darasa? πππ
thubutuuuatanipwelepweta huyo
au wewe ni kilaza?siwezi kuingia darasa lolote kwa sasa, kuna vitu havifundishiki ndio maana hakuna mtaala wa hayo mambo.
pole sanaDada anazingua tu binafsi kumpa mtu ninae mpenda kitu sio lazima aniombe au atilie mkazo as if anafanya biashara ya mahusiano .
whatsapp basiπππ Nitakutunza kama mboni ya jicho kwa fedha , na kimwili.. furaha Yako ndio afya yangu
Alooooo πwe unaonaje?
ayaAlooooo π
Unamaanisha wamejisajiri,TRA na BRELA!Utafikiri **** ni Duka! Akili za wanawake badhi wanadhani kuwa na shimo tayari ni firm !
ndio wako brela na cheti cha kuzaliwaUnamaanisha wamejisajiri,TRA na BRELA!
Kama kila asiekuwepo kwenye darasa lako ni kilaza upo sahihi mkuu.au wewe ni kilaza?
π waachie wenyeweatanipwelepweta huyo
Lakini unachowafunza wenzako ni kama aina flani ya blackmailing...wamenuna jiwe linawahusu la leo