Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #381
Sijalia mkuu
Ndio vina ukomo...
Kwa nongo hii lazima uwapate tu, kila la kheri.
Ukiwa unamaconfidence na uwezo wa ushawishi, wauzie chochote wanawake utawapata tu.
uje darasani nikufundishe maana ya size yakoSize ukiwa una maanisha nn 🙂
ukijiunga nadarasa utajua price tag ya mwanamke wakoI wonder why there is no price tag 😃😃😃
wewe ndio yule wanamtafuna alafu wanakuja kukutangaza huku kwa groupWana baki kuongea kijumla jumla 😄
sasa haina mashiko mbona umekuja hapa boss?Hii code yako haina mashiko!
Mwanamke anayejitambua ni yule mpambanaji anayeweza kujinunulia Iphone 16 mwenyewe
Hawa wa kushinda Instagram wakituonesha makalio wakisubiri kuhongwa na mwishowe kufanywa Nyumba ndogo, hiyo sio dili la kumpa mwanamke anayejitambua.
Code yangu kwa Mwanamke ni kuwa; hao wanao honga mavitu makubwa ni wakupita tuuu (sio waoaji)
Pambana upate vya kwako, ndio dhamani yako inapanda (Muoaji anataka mtu wa kusaidiana maisha)
Kama mwanamke unataka kuwa shamba la Bibi, endelea kusubiri Iphone 16 ya kuhongwa!
thubutuuuSawa mwenyekiti, unaijua kazi yako vyema, mwanaume na msikie😏
ningekuwa dada poa we usinge comment hapaHii ndio shida Dada poa kufika form four na kuwa na smart phone basi JF imeharibika kabisa. Umelaaniwa
Hili dada Money Penny ni malaya wa siku nyingi sana humu huwa haachi tu
Hapa linataka liwachukue wanawake likawafunze umalaya humo WhatsApp yaani halina hata aibu hili mama sijui soko lake limedoda
sio wawe kamini wameshakuja kujifunza whatsappKwa wanawake wageni humu kuweni makini na hili likigagula .
Huwa anafunza umalaya na anakuwadia wanawake kwa masponsa halafu lenyewe linapata kamisheni yake
Baada ya muda linapotea humu kisha likiishiwa hela linarudi tena haoa yaani tabia za kishetani sana umri umeenda lakini halitaki kujiheshimu
Sasa hapa linafunza umalaya kwa kuwa yeye amedoda hanunuliki basi kaamua awe dalali eti feminine!
Money Penny kuwa na aibu wewe shangazi
😹😹😹
Basi mkuu inatosha kasikia
Mbele kuna mteremko mkali 😹
angalau sasa wanakuja real MaculineModerator hii umeipitishaje?au umepewa kitu kidogo?
Huwa sitoi hela ili nipate k hata siku moja.POLE BRO
unahisi mademu zako wakijiunga darasa utakuwa haupati vya bure ndio maana unatukana ovyo na changamoto yako ya afya ya akili
bro nenda kafanye kazi acha ubwete acha vya bure
Usipojitambua kama Msichana au Mwanaume, hizi ndio sehemu zako zitaathirika.... GIRL CODE NO 4
Ewe mwanamke wewe msichana wewe binti Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni 1. sehemu zako za siri 2. utu wako 3. saikolojia yako juu ya wanaume 4. afya ya akili yako nakusahuri, jitambue, jielewe jua thamani yako, jua wewe ndio the price sio mwanaume natoa darasa la...www.jamiiforums.com
Hahahaha!!imebidi niangalie masikio ya ng'ombe yalivyolegea😅
you sound like one. kwa ulioandika mwanzoHuwa sitoi hela ili nipate k hata siku moja.
Mwanamke yupo tayari kutoroka kwao na agombane na wazazi ili tu aonane na mwanaume anayempenda, KAKA ukiona unabembeleza sana au unatumia nguvu nyingi kuonana na huyo mpenzi wako uliyenaye bro huyo ni mwanamke wa mtu usifosi mambo.
Yani tokea nijue na wewe unahitaji mwanaume .
Life is all about trading unanipa k nakupa mbol00 .
Sasa wewe nikikupa hela zangu utanipa nini??
Mana tayAri umetoa kiungo chako namie nimetoa kiungo changu vikakutana vikaburudishana
pole Mr UbweteLabda mkutane na mbwege na madomo zege
we nawe unawachota sana huku jamii forumWajumbe wanatuvuruga sana aisee mara kama masikio ya ng'ombe mara wwngine huwa wanasema kama mdomo wa nyoka 🤣🤣🤣
View attachment 3181100
View attachment 3181101
Unacheka nini sasa badala ya kukimbilia inbox kwa Kungwi?🤣🤣🤣au we hutaki kupewa hela bila kuomba?
NAWAFUNDISHA UKWELI AMBAO HAUTAKI WASIKIENaona unawafundisha kudanga ipasavyo. Sio kila mwanamke wa kumpa fedha, K kama ile ya Kibomba hata buku sitoi.
kama ulionayoFatherless behavior