Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

NAWAFUNDISHA UKWELI AMBAO HAUTAKI WASIKIE
[POLE MR UBWETE
KAFANYE KAZI UACHANE NA VYA BURE
Usizunguke we sema unataka kuandaa malaya professionals.
 
Ila vijana wa sasa ni wa hovyo sanaa, wavulana wanapenda vya Bure kwakua wasichana wameamua kujirahisisha.

Feminism imetafsiriwa tofauti na ilivyo. Ni muhimu kwa mwanamke kujitambua na kujua thamani yake sio kwaajili ya kupata sponsorship Kwa wanaume Bali kutunza utu na heshima yake katika jamii.

Kuna tukio lilinitokea kitambo kdgo, kijamaa kimejileta twende out kufika akaagiza chipsi na mishikaki na maji, binafsi nikienda out lazima niwe na pesa zangu mfukoni ili hata akizingua najilipia nasepa, etii baada ya kulipa bill namskia twendee basi guest, nimebanwa mwenzio, Whaaaaat!!? Hivi umenionaje yaani!?. Kwamba maji mara Moja!?, nikamwambia siendi na hapa narudi nyumbani, akajua utani , akajifanya kutangulia huko guest akajua ntamfata nyuma, mie huyo nikaondoka zangu nyumbani mdogo mdgo , akakata na mawasiliano ..... Mxieeeeee!!!!!. Yote yanatokea kwakua mabint wameamua kujirahisisha, ukitongozwa basi shida zako zoteeee unazitoa , sijala, sijasuka mara Kodi, mtu ataachaje kuona unajiuza kwa style hiyo!?.
BORA
AT LEAST KUNA MTU AMEONA KUNA UKWELI KWA NINACHOONGEA
WATU WAMELAZWA KWENYE COUMA NA WANAUME WANAONA YOTE NI SAWA
HATA UKIWAAMSHA HAWATAKI WANATAKA KUENDELEA KUTUMIKA
HAYA MUMSIKILIZE MWENZANGU MWINGINE LABDA HUYU MTAMWELEWA Manyanza
 
Wasichana wa sasa wanaboa sanaa, Jana saa 7 usiku mtu anakuja kufanya uzinzi kwenye uchochoro!?. Hvyo kwelii.... Msichana unakubalije uchafu huu!!?. Yaani unakubali uchochoroni !!!?... Kutokujitambua kukubwa kbsaa.

Hata ukija kwenye jamii yangu ukasema yule msichana muhuni sanaa, kwanza watakushangaa yulee!!?? Mmhh!! Ni kwasababu ya kutunza heshima na utu wako kma msichana ndomna ya kuwa feminine sio urembo pekee Bali na kujtunza.
mletea aje afanye darasa la feminine uone kama utamwona kwako tena
 
Screenshot_20240812-181242.png
 
sio kila mwanamke yuko hivi
ila wasiojitambua wako hivi
kama hao unaowatafuna bure, ukiwaaminisha kuwa maisha ni haya uliopost kumbe sio kweli
kuna wanawake ni feminine na hawajui kulia maishani mwao when it comes to mambo ya mahusiano, ndoa na familia
endelea kuwadanganya, wakitaka kuamka walete darasa langu
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Taja na madhara ya geisha kwani ndo inatupa viburi baadhi yetu
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Kulinganisha mwili wako na thamani yeyote ya fedha ni umalaya. Kuna malaya wanaenda kujiuza baa wanapaki crown zao. Kuna malaya wamepangishiwa apartment Masaki. Kuna malaya wanaenda kumbotwa south Africa na Dubai. Kaa chini jiulize kwa nini wema na kajala hawasafiri kwenda nje ? Wamechuja. Kuhudumiwa ni relative unachokiona wewe ni kikubwa anaekitoa anaona kawaida. Na mwanaume anakuhudumia ili awe na mazingira mazuri ya kukumbato. Yaani kukuhudumia kwake ni kuboresha starehe anayopata kutoka kwako.
 
Mtazunguka zunguka lakini mwisho wa siku idadi ya watu Duniani inazidi kuongezeka, Wacha watu wabanjuane baaana!
 
Kulinganisha mwili wako na thamani yeyote ya fedha ni umalaya. Kuna malaya wanaenda kujiuza baa wanapaki crown zao. Kuna malaya wamepangishiwa apartment Masaki. Kuna malaya wanaenda kumbotwa south Africa na Dubai. Kaa chini jiulize kwa nini wema na kajala hawasafiri kwenda nje ? Wamechuja. Kuhudumiwa ni relative unachokiona wewe ni kikubwa anaekitoa anaona kawaida. Na mwanaume anakuhudumia ili awe na mazingira mazuri ya kukumbato. Yaani kukuhudumia kwake ni kuboresha starehe anayopata kutoka kwako.
kuna mtu ameongelea pesa kwenye huu uzi kweli
au unajichatua tu
bro rudi shule kasome kiswahili na uache ubwete
kafanye kazi umpate mke wako umhudumie achana na kutafuna wanawake kwa bure
 
Aisee wanawake waliokosa haya malezi wanakuwa bitches on bed. Yaani ukiwatreat kama ladies wanakusumbua. Wanataka matusi kutukanwa na kugombezwa wakikosea. Nililiapa sitapiga mwanamke lakini wawili waliokuwa na character hii ilibaki kidogo tu. Kwa mtazamo wangu wanafaa sana kwa starehe lakini sio kuoa au kuzalisha. Maana hawataki heshima wanataka kunyooshwa katika kila sekta.
 
Mtazunguka zunguka lakini mwisho wa siku idadi ya watu Duniani inazidi kuongezeka, Wacha watu wabanjuane baaana!
inaongezeka lakini sio habari ya free k tena
kaulize marekani na china watakujuzaúkikaa kibwete utakufa na nyege zako

kafanyeni kazi wabongo
 
Aisee wanawake waliokosa haya malezi wanakuwa bitches on bed. Yaani ukiwatreat kama ladies wanakusumbua. Wanataka matusi kutukanwa na kugombezwa walikosea. Nililiapa sitapiga mwanamke lakini wawili waliokuwa na character juu ilibaki kidogo tu. Kwa mtazamo wangu wanafaa sana kwa starehe lakini sio kuoa au kuzalisha. Maana hawataki heshima wanataka kunyooshwa katika kila sekta.
wale wale wa ubwete
 
Back
Top Bottom