Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Usizunguke we sema unataka kuandaa malaya professionals.
 
BORA
AT LEAST KUNA MTU AMEONA KUNA UKWELI KWA NINACHOONGEA
WATU WAMELAZWA KWENYE COUMA NA WANAUME WANAONA YOTE NI SAWA
HATA UKIWAAMSHA HAWATAKI WANATAKA KUENDELEA KUTUMIKA
HAYA MUMSIKILIZE MWENZANGU MWINGINE LABDA HUYU MTAMWELEWA Manyanza
 
mletea aje afanye darasa la feminine uone kama utamwona kwako tena
 
sio kila mwanamke yuko hivi
ila wasiojitambua wako hivi
kama hao unaowatafuna bure, ukiwaaminisha kuwa maisha ni haya uliopost kumbe sio kweli
kuna wanawake ni feminine na hawajui kulia maishani mwao when it comes to mambo ya mahusiano, ndoa na familia
endelea kuwadanganya, wakitaka kuamka walete darasa langu
 
Taja na madhara ya geisha kwani ndo inatupa viburi baadhi yetu
 
Kulinganisha mwili wako na thamani yeyote ya fedha ni umalaya. Kuna malaya wanaenda kujiuza baa wanapaki crown zao. Kuna malaya wamepangishiwa apartment Masaki. Kuna malaya wanaenda kumbotwa south Africa na Dubai. Kaa chini jiulize kwa nini wema na kajala hawasafiri kwenda nje ? Wamechuja. Kuhudumiwa ni relative unachokiona wewe ni kikubwa anaekitoa anaona kawaida. Na mwanaume anakuhudumia ili awe na mazingira mazuri ya kukumbato. Yaani kukuhudumia kwake ni kuboresha starehe anayopata kutoka kwako.
 
Mtazunguka zunguka lakini mwisho wa siku idadi ya watu Duniani inazidi kuongezeka, Wacha watu wabanjuane baaana!
 
kuna mtu ameongelea pesa kwenye huu uzi kweli
au unajichatua tu
bro rudi shule kasome kiswahili na uache ubwete
kafanye kazi umpate mke wako umhudumie achana na kutafuna wanawake kwa bure
 
Aisee wanawake waliokosa haya malezi wanakuwa bitches on bed. Yaani ukiwatreat kama ladies wanakusumbua. Wanataka matusi kutukanwa na kugombezwa wakikosea. Nililiapa sitapiga mwanamke lakini wawili waliokuwa na character hii ilibaki kidogo tu. Kwa mtazamo wangu wanafaa sana kwa starehe lakini sio kuoa au kuzalisha. Maana hawataki heshima wanataka kunyooshwa katika kila sekta.
 
Mtazunguka zunguka lakini mwisho wa siku idadi ya watu Duniani inazidi kuongezeka, Wacha watu wabanjuane baaana!
inaongezeka lakini sio habari ya free k tena
kaulize marekani na china watakujuzaúkikaa kibwete utakufa na nyege zako

kafanyeni kazi wabongo
 
wale wale wa ubwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…