Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

wanani discuss hawana evidence bruh 😀 😀 😀 😀
tena waendelee kuni discuss ndio napenda wananiletea na wateja wa feminine
maskini, pole mwaya me sina shida ya kudiscussiwa lete evidence
Sina muda na wewe yaani mwanaume mzima nikufuatilie wewe?

HEBU TUACHE
 
kweli, mkeo namhurumia mno
Utawahurumia wangapi? Dunia ina mamilioni ya watu utawaweza wote hao?! Na wamepatikana kwa mwanamke kuvua chuppi katombwa kashika mimba mtoto kazaliwa. Nenda labour kumejaa wajawazito, wameupataje?

We mwenyewe unahurumiwa na baadhi ya wachangiaji wa bandiko lako.

Acheni kuwatisha vijana badala yake wajengeeni kujiamini ili waweze kuyakabili maisha.

Duniani hakuna jipya. Yalikuwepo, yapo yatakuwepo
 
Utawahurumia wangapi? Dunia ina mamilioni ya watu utawaweza wote hao?! Na wamepatikana kwa mwanamke kuvua chuppi katombwa kashika mimba mtoto kazaliwa. Nenda labour kumejaa wajawazito, wameupataje?

We mwenyewe unahurumiwa na baadhi ya wachangiaji wa bandiko lako.

Acheni kuwatisha vijana badala yake wajengeeni kujiamini ili waweze kuyakabili maisha.

Duniani hakuna jipya. Yalikuwepo, yapo yatakuwepo
NAMHURUMIA ALIKUCHAGUA WEWE 😀
 
SIKUTAKI..!🤣🤣
hamna anaekutaka
ndio shida ya wanaume majike
wanadhani kila mtu anaewaambia ukweli anawataka
wewe ushizi tu me nakupeleka wapi
hata niliowazaa wako 1000 times better than wewe
namhurumia mama yako, umemwangusha sana
 
Back
Top Bottom