Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

uweee, huyo ambae wana mdiscuss kwa grup whatsapp 😀 na picha zake za kila kitu
haiyaaa hongera ndio level yako sikulaumu
Aahhhh usiniambie.😂😂😂😂😂
Enheee mnanijadili mnasemaje? Mnatamani kuwa kama mimi?
Woii picha zangu mtoe wapi!? Mnatamani eeeh? Hamtokaa mpate pia… nakazia HAMTOKAA MPATE😂😂😂😂
 
Aisee wanawake waliokosa haya malezi wanakuwa bitches on bed. Yaani ukiwatreat kama ladies wanakusumbua. Wanataka matusi kutukanwa na kugombezwa walikosea. Nililiapa sitapiga mwanamke lakini wawili waliokuwa na character juu ilibaki kidogo tu. Kwa mtazamo wangu wanafaa sana kwa starehe lakini sio kuoa au kuzalisha. Maana hawataki heshima wanataka kunyooshwa katika kila sekta.
IMG_3083.jpeg
 
Unacheka nini sasa badala ya kukimbilia inbox kwa Kungwi?🤣🤣🤣au we hutaki kupewa hela bila kuomba?
Sis nilipie ada nikikwiva nikianza kupewa pesa bila kuomba ntakurudishia na cha juu 😹😹
 
Leta mifano ndugu yangu njoo na mifano mimi nimekupa mifano. Kulazimisha kuhudumiwa ni kuturahisishia kazi wanaume. Ukiweka bei kuna watu wanafika. Nimekupa mifano watu wamenunua mpaka Q7 lakini hawakumzalisha Wema. Kuna mmoja Sanchi alipangishiwa apartment Masaki. Hadi akabadilisha dini kwa sababu ya pesa. Na akabeba mimba juu. Kumbe mwamba anadili na madawa. Leo mwamba yuko jela na yeye amerudi sokoni. Na ni shingo Maza analea mtoto pekee yake ,🤣🤣🤣. Umalaya ni kazi ngumu sana dada yangu.
Kama asipokuelewa hapa atakuwa na shida
 
Back
Top Bottom