PeeWee
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 410
- 1,118
Hii code 2 umeielewa😁Noted,tunasubiria girl code 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii code 2 umeielewa😁Noted,tunasubiria girl code 3
poleni kwa kuteseka kwa kutoa bureKungwi
Mbona unapaniki mama! Hahaa huo Ndio ukweli na utakuweka huru! Hii biashara ya **** hazihitaji promotion sababu mko wengi na unajua the law of demand and supply . Mzigo uko mpaka online.we wanaume wenzio wanafanya kazi wewe unaandika barua ya jinsi ya kupata uchi
nakwambia soko lako limeisha wanawake wameamka hamna cha bure tena
ukitaka andika na biblia kabisa hawaji kwa bure
nisidanganyike kwan me mtoto mwenzenuHahhah wanaume hawahawa kata K wanaovalia trauza chini ya makalio? Utachina tu mama usijidanganye huo wakati ushapitwa bana!
wamejaa kibao boss, kibaaaaao mnawatisha wanawake wa watu kisa mnakula bureToo bad, huyo mwanaume wa kusubiri hivyo hayupo. You must know even men wamekuwa smart this days
Without two side ku compromise there will be no solution
uje kwenye darasa la feminineNoted,tunasubiria girl code 3
NDIOKumbe zina thamani kiasi hicho duh
KAMA WEWE NI MWANAMKE NJOO WHATSAPPKulikoni
90+% Ya K zinabikirwa bure kabisa au kwa gharama ya chips za 2k alaf mtu anataka ukawekeze kwenye shimo used. Pesa inawekezwa kwenye mradi utakaozalisha pesa nyingine, siyo kwenye qoumer.Naona maraya mmekuja ku verify ufuska wenu.
kama nina waste time why una comment uzi wa wanawake usiokuhusu?You are just wasting ur time.
nisidanganyike kwan me mtoto mwenzenu
me nawasaidia watoto wangu wanalia sana kuhusu wanaume masuruali kama wewe sababu hawajui thamani zao
Vijana now wamejikita kwa mishangazi wakitoka hapo na wenyewe utakuta wameshajipata nao wataanza kula vitoto mtakavyo zaa na hao mapedeshee kama kawa, sio mimi lakin😆😆😆wamejaa kibao boss, kibaaaaao mnawatisha wanawake wa watu kisa mnakula bure
poleee free zone inaisha
**** sio Duka fanyeni kazi halali! **** ni starehe, kukojoa na kuzaa!tumekuja kukuweka hewani
kuwa bure utajitomba wmenyewe
na bado utarusha vitabu vyote
ila utamu bure hampati tena
mkafanye kazi mhudumie wake zenu
Vijana now wamejikita kwa mishangazi wakitoka hapo na wenyewe utakuta wameshajipata nao wataanza kula vitoto mtakavyo zaa na hao mapedeshee kama kawa, sio mimi lakin😆😆😆