Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

My status they come by themselves fuckin em and giving em gifts and bus fair not investment! Hawaishi wanajiuza Kila mahali mpaka telegram au nikupe chanells ambazo mpaka kukopesha wanakopesha! Siku hizi mmekazana kuwabadilisha wanaume mashoga atawatomba nani sasa. Wenzio wanaombea!
malizia kabisa kuwatomba, ndio wanaend kusiha hautawapata tena
 
Kutombwa ni kutombwa tu haijalishi mwanaume amewekeza sana au kidogo

Nilidhani utawafundisha wenzako waache umalaya watulie waolewe kumbe unawafundisha umalaya
Kwa sasa jamii ya Kitanzania imejaa kuwindana na kutekana.

Unaweza kulaumu wasiojulikana wanatumiwa na wanasiasa kuteka wananchi.

Kumbe kuna wanawake wanapanga mkakati wa utekaji pia 😂😂😂
 
Kwa sasa jamii ya Kitanzania imejaa kuwindana na kutekana.

Unaweza kulaumu wasiojulikana wanatumiwa na wanasiasa kuteka wananchi.

Kumbe kuna wanawake wanapanga mkakati wa utekaji pia 😂😂😂
pole jiwe langu naona limekupigwa kichwani mpaka umekuja wkenye uzi wa kike
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Wewe endelea kufanya hiyo K mtaji, ila hautatajirika kamwe kwa kuuza kwa hela nyingi, hakuna mwanamke anatajirika kwa kutegemea kupewa hela sababu ya k yake.
Mnaishia kupigwa mimba tuu.
 
Wewe endelea kufanya hiyo K mtaji, ila hautatajirika kamwe kwa kuuza kwa hela nyingi, hakuna mwanamke anatajirika kwa kutegemea kupewa hela sababu ya k yake.
Mnaishia kupigwa mimba tuu.
we sema umechukia kuwa hautakuwa na k za kula bure
njoo darasa langu la feminine nikufunde
 
Mambo ya clitocurrency

Mambo ya success is sexually transmitted

Mambo ya kiungo mtaji

Ila ndio dunia yetu, wanaume baadhi yetu watakuvamia lakini ikitokea manzi yake anahitaji laki tano atampa Ila ndugu yake mwenye shida hata ya 30,000 anaanza kumpa mipango na sababu kuwa hana.

Kwa hiyo ndio uhalisia
naona leo wanaume jiwe limewachapa kichwani
wote mko kwa uzi wa wanawake kuwafanya wajiskie wanachelewa na waendelee kutoa K bure
muda wa bure umeisha
 
Back
Top Bottom