Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Basi acha kudanganya wanao mama! Yalikuwa yetu enzi zile tunatongoza tupo kwenye migomba unasubiri hadi kunakucha na mvua na mbu wanashiba damu zetu tu sio hawa wa text message na emoji tu wanavua chupi! Ukisoma nyuzi za vijana hapa utaona kabisa hamna mwekezaji hata mmoja!
nawadanganya nipate nini
we kafanye kazi simamia majukumu yako achana na k za bure
 
Situmii wadangaji.

Sitaki kujibizana na wewe usije kunipaka shombo.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona chochote utakachopost.
uzi ni wa wanawake, kipi hauelewi?, au wewe ni p.diddy ndio maana uko hapa?
 
nawadanganya nipate nini
we kafanye kazi simamia majukumu yako achana na k za bure
Yani mi nashauri tu, kwa umri wangu K nishapita sana ni veteran so kama ni biashara ya kutoa elimu endelea tu, nmesema tu vijana wenyewe unaowapa elimu ni nadra sn kuwapata coz K zinapatikana kiurahisi sana tofauti sana na enzi zetu tulipokua tunaandikiana nyaraka! Tukiwa high school tunasafiri kwa mabasi ya TRC na treni kutumia warrant! Nipo Boys na my gal yupo Msalato, Tabora to Dom ilikua safari ya siku nzima na hamuonani term to term, leo hii ukitoka nje tu anayepita unamsimamisha na mnamalizana ndani ya dk 20, somo hili atalitaka? Hawa wa leo hawajui haya
 
Yani mi nashauri tu, kwa umri wangu K nishapita sana ni veteran so kama ni biashara ya kutoa elimu endelea tu, nmesema tu vijana wenyewe unaowapa elimu ni nadra sn kuwapata coz K zinapatikana kiurahisi sana tofauti sana na enzi zetu tulipokua tunaandikiana nyaraka! Tukiwa high school tunasafiri kwa mabasi ya TRC na treni kutumia warrant! Hawa wa leo hawajui haya
sawa boss
naomba tupishe wanawake wajifunze
 
naona leo wanaume jiwe limewachapa kichwani
wote mko kwa uzi wa wanawake kuwafanya wajiskie wanachelewa na waendelee kutoa K bure
muda wa bure umeisha
Sielewi kwa ni wanawake maskini wanaona wanastahili kuwa na wanaume matajiri. Ndio maana wengi wanafanywa watumwa kiasi cha kukosa kauli kwenye miili na maisha yao wenyewe.
 
Back
Top Bottom