Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Aaah wapi, Tunaenda nao kwa akili hivyo hivyo.labda mshua asie na akili
washuani kuwala ngumu maana kila kitu kiko mezani
Kila mwanamke anaamini Mwanaume mwenye pesa ana akili 🧠.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi, Tunaenda nao kwa akili hivyo hivyo.labda mshua asie na akili
washuani kuwala ngumu maana kila kitu kiko mezani
nawadanganya nipate niniBasi acha kudanganya wanao mama! Yalikuwa yetu enzi zile tunatongoza tupo kwenye migomba unasubiri hadi kunakucha na mvua na mbu wanashiba damu zetu tu sio hawa wa text message na emoji tu wanavua chupi! Ukisoma nyuzi za vijana hapa utaona kabisa hamna mwekezaji hata mmoja!
Mama mchunga naomba ujitoe kwenye hili haraka sana.Asante sana kungwi tumesha poa
uzi ni wa wanawake, kipi hauelewi?, au wewe ni p.diddy ndio maana uko hapa?Situmii wadangaji.
Sitaki kujibizana na wewe usije kunipaka shombo.
Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona chochote utakachopost.
Eeeh, wauze tu, lakini wakiambiwa ukweli kwamba wanauza wasilalamike.Kwamba kuziuza wanaruhusiwa ila wakisemwa wasitoe mapovu😁😁😁
hajitoi, yuko whatsapp amelipia darasaMama mchunga naomba ujitoe kwenye hili haraka sana.
hawa wanawake 500 kwa whatsaopp mbona wameweza?Wanaweza basi kukibania hiko ki kitu..........
huko ndio balaaVijana now wamejikita kwa mishangazi wakitoka hapo na wenyewe utakuta wameshajipata nao wataanza kula vitoto mtakavyo zaa na hao mapedeshee kama kawa, sio mimi lakin😆😆😆
Wanadai kuuza ni tofauti na kutoa huduma yani kuhudumia 🤔Eeeh, wauze tu, lakini wakiambiwa ukweli kwamba wanauza wasilalamike.
nenda kafanye kazi bruh** sio Duka fanyeni kazi halali! ** ni starehe, kukojoa na kuzaa!
nani anandai? acha kujibalaguza leo wanaume nimewamalizaWanadai kuuza ni tofauti na kutoa huduma yani kuhudumia 🤔
Unamfundisha mtumishi haya?hajitoi, yuko whatsapp amelipia darasa
nasemje na bado
Yani mi nashauri tu, kwa umri wangu K nishapita sana ni veteran so kama ni biashara ya kutoa elimu endelea tu, nmesema tu vijana wenyewe unaowapa elimu ni nadra sn kuwapata coz K zinapatikana kiurahisi sana tofauti sana na enzi zetu tulipokua tunaandikiana nyaraka! Tukiwa high school tunasafiri kwa mabasi ya TRC na treni kutumia warrant! Nipo Boys na my gal yupo Msalato, Tabora to Dom ilikua safari ya siku nzima na hamuonani term to term, leo hii ukitoka nje tu anayepita unamsimamisha na mnamalizana ndani ya dk 20, somo hili atalitaka? Hawa wa leo hawajui hayanawadanganya nipate nini
we kafanye kazi simamia majukumu yako achana na k za bure
haya na zaidiUnamfundisha mtumishi haya?
sawa bossYani mi nashauri tu, kwa umri wangu K nishapita sana ni veteran so kama ni biashara ya kutoa elimu endelea tu, nmesema tu vijana wenyewe unaowapa elimu ni nadra sn kuwapata coz K zinapatikana kiurahisi sana tofauti sana na enzi zetu tulipokua tunaandikiana nyaraka! Tukiwa high school tunasafiri kwa mabasi ya TRC na treni kutumia warrant! Hawa wa leo hawajui haya
Mimi haujanimaliza ila umenipa mwaga chenji zangu za baada ya kunywa bia niziweke wapi🤔 kwahiyo kumbe ni kuuza?nani anandai? acha kujibalaguza leo wanaume nimewamaliza
kuna shemeji yako ameshawekeza miaka 48 iliopita mpaka leo ninafurahia matunda ya ndoa na uwekezaji wake kwanguYa kwako bei gani
Sielewi kwa ni wanawake maskini wanaona wanastahili kuwa na wanaume matajiri. Ndio maana wengi wanafanywa watumwa kiasi cha kukosa kauli kwenye miili na maisha yao wenyewe.naona leo wanaume jiwe limewachapa kichwani
wote mko kwa uzi wa wanawake kuwafanya wajiskie wanachelewa na waendelee kutoa K bure
muda wa bure umeisha
poyeeee]Mimi haujanimaliza ila umenipa mwaga chenji zangu za baada ya kunywa bia niziweke wapi🤔