Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Unaliwajwe bila ndoa? Kwamba kuna li SIMP litakupenda ukiwa used?
 
Sielewi kwa ni wanawake maskini wanaona wanastahili kuwa na wanaume matajiri. Ndio maana wengi wanafanywa watumwa kiasi cha kukosa kauli kwenye miili na maisha yao wenyewe.
sasa wanawake maskini ulitaka wakaolewe na nani?
wewe au?
 
sawa money penny

unajuaje kama mwanaume amewekeza kikubwa kwako?

kwasababu wanaume wapo wa viwango tofauti, kuna ambaye akijitahidi sana anaweza kukujengea nyumba na kuna ambaye akijitahidi sana anaweza kukununulia simu tu
unajua tu]
uje kwenye darasa la feminine whatsapp utajua zaidi
 
Back
Top Bottom