Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
 
IMG_4366.jpeg
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Kutumia mwili wa mwanamke, hasa sehemu za siri, kama kitega uchumi cha kupata fedha na mali kutoka kwa wanaume badala ya kujali heshima, utu, na hadhi kunaathiri vibaya afya ya akili, mwili, na jamii kwa ujumla. Hali hii inamfanya mwanamke kuishi maisha yasiyo na utulivu wa kisaikolojia, kwani anakuwa katika hali ya wasiwasi na msongo wa mawazo kutokana na utegemezi wake kwa mahusiano ya kimwili. Kukosa uhusiano wa kihisia na wa dhati kunasababisha upweke na hisia za kutengwa. Mwanamke pia anaweza kujidharau na kuona hana thamani ya kiutu zaidi ya mwili wake, jambo linaloshusha kiwango chake cha kujiamini na kumfanya kuwa na hatari ya kuathiriwa na sonona na huzuni ya muda mrefu.

Kwa upande wa afya ya mwili, mwanamke anayejihusisha na tabia hii yuko kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya zinaa kama UKIMWI, kaswende, kisonono, na maambukizi mengine. Hali hii huzidishwa zaidi na mahusiano yasiyo na mipango salama, yanayopelekea mimba zisizotarajiwa ambazo zinaweza kuhatarisha afya ya mama na mtoto. Aidha, matumizi ya mwili kupita kiasi husababisha uchovu wa mwili na matatizo ya mifumo ya uzazi, huku akihatarisha kupata saratani ya shingo ya kizazi kutokana na maambukizi sugu. Vilevile, mwanamke huyu anaweza kukumbana na unyanyasaji wa kimwili kutoka kwa wanaume ambao hawamheshimu, wakiona mwili wake kama bidhaa ya biashara badala ya utu wa mtu.

Kijamii, tabia ya kutumia mwili kama chanzo cha kipato huathiri hadhi na heshima ya mwanamke katika jamii. Jamii kwa kawaida humhukumu na kumpunguzia nafasi ya kuaminiwa au kushirikishwa katika masuala muhimu ya kijamii. Aidha, tabia hii huathiri uwezo wa mwanamke kuanzisha ndoa na familia imara inayojengwa kwenye upendo na maadili mema. Mwanamke aliyezoea kutegemea mahusiano ya kimwili mara nyingi hukosa msingi wa kujenga familia yenye mshikamano. Hali hii pia inasababisha kuvunjika kwa maadili ya kijamii, kwani vijana na kizazi kijacho wanaweza kuiga tabia hiyo na kuendeleza mzunguko wa maisha usiofaa.
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani

Hahhah wanaume hawahawa kata K wanaovalia trauza chini ya makalio? Utachina tu mama usijidanganye huo wakati ushapita bana!
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Too bad, huyo mwanaume wa kusubiri hivyo hayupo. You must know even men wamekuwa smart this days
Without two side ku compromise there will be no solution
 
Back
Top Bottom