Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani

Hii code yako haina mashiko!
Mwanamke anayejitambua ni yule mpambanaji anayeweza kujinunulia Iphone 16 mwenyewe
Hawa wa kushinda Instagram wakituonesha makalio wakisubiri kuhongwa na mwishowe kufanywa Nyumba ndogo, hiyo sio dili la kumpa mwanamke anayejitambua.
Code yangu kwa Mwanamke ni kuwa; hao wanao honga mavitu makubwa ni wakupita tuuu (sio waoaji)
Pambana upate vya kwako, ndio dhamani yako inapanda (Muoaji anataka mtu wa kusaidiana maisha)
Kama mwanamke unataka kuwa shamba la Bibi, endelea kusubiri Iphone 16 ya kuhongwa!
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Sawa mwenyekiti, unaijua kazi yako vyema, mwanaume na msikie😏
 
Hii ndio shida Dada poa kufika form four na kuwa na smart phone basi JF imeharibika kabisa. Umelaaniwa
Hili dada Money Penny ni malaya wa siku nyingi sana humu huwa haachi tu

Hapa linataka liwachukue wanawake likawafunze umalaya humo WhatsApp yaani halina hata aibu hili mama sijui soko lake limedoda
 
Kwa wanawake wageni humu kuweni makini na hili likigagula .

Huwa anafunza umalaya na anakuwadia wanawake kwa masponsa halafu lenyewe linapata kamisheni yake

Baada ya muda linapotea humu kisha likiishiwa hela linarudi tena haoa yaani tabia za kishetani sana umri umeenda lakini halitaki kujiheshimu

Sasa hapa linafunza umalaya kwa kuwa yeye amedoda hanunuliki basi kaamua awe dalali eti feminine!

Money Penny kuwa na aibu wewe shangazi
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Labda mkutane na mbwege na madomo zege
 
Back
Top Bottom