Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

jibu nikujibu
mimi sio mwanaume mpaka nikawekeze kwa mwanamke
kwa majibu haya nachelea kusema kwamba ww ni mpumbavu...
Screenshot_2024-12-20-11-34-50-280_com.opera.mini.native.jpg
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Hicho kikubwa kinachotakiwa kuwekezwa ni kipi, weka benchmark hapa tujue hicho kikubwa kinachotakiwa kuwekezwa kabla ya mwanamke kutoa 'K' ni kitu gani, ni 100k, nyumba, gari, au ni kitu gani........vinginevyo unataka kupiga porojo tu na kuwapotosha wenzio ili waangukie kwa wanunua 'K' badala ya wanaume sahihi wanaowapenda wao wenyewe.
 
Hicho kikubwa kinachotakiwa kuwekezwa ni kipi, weka benchmark hapa tujue hicho kikubwa kinachotakiwa kuwekezwa kabla ya mwanamke kutoa 'K' ni kitu gani, ni 100k, nyumba, gari, au ni kitu gani........vinginevyo unataka kupiga porojo tu na kuwapotosha wenzio ili waangukie kwa wanunua 'K' badala ya wanaume sahihi wanaowapenda wao wenyewe.
NATOA DARASA LA FEMININE WHATSAPP UJE
AU UKAANGALIE YOUTUBE AU UJE TIKTOK NINA DARASA NAANZA SAHIVI SAA 6MCHANA
 
Back
Top Bottom