Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

Tatizo wanawake wanadanganyana sana, wanafikiri kuwa na mwanamme ndiyo kutoka kimaisha.......wakishachezewa na kuwa expired wanaanza kuchukia kila mwanamme wakati makosa ni yao wenyewe. Mwanamme gani anataka kuchezewa?
Naamini ipo siku na wao wataelewa kuwa mahusiano ni investment ya watu wawili. Hata kama sio kipesa bhasi kihisia, kiakili na kiroho ila hii ya kuona nikoshakuwa na kiungo nimemaliza. Ni biashara na ujinga wa hali ya juu
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
Dah!! Uko vizuri sana kwenye elimu ya umalaya.
 
Naamini ipo siku na wao wataelewa kuwa mahusiano ni investment ya watu wawili. Hata kama sio kipesa bhasi kihisia, kiakili na kiroho ila hii ya kuona nikoshakuwa na kiungo nimemaliza. Ni biashara na ujinga wa hali ya juu
Wanawake wa kibongo itawachukua muda sana kulijua hili, kwa kweli wanasikitisha mno.
 
Tatizo lenu mnadanganyana sana kuishi kwa kupretend, hamtendi mnayosema/kufundisha wenzenu.

Ushauri wa mwanamke kwa mwanamke mwenzie sio wa kuutilia maanani kabisa hasa hayo mambo ya mahusiano.

NB. Tafuta pesa binti, usitume uke kama kitega uchumi.
SASA BOSS MBONA UNALIA?
AU VYA BURE VINAISHA?
WAJE NIWAPE DARASA WHATSAPP WATAKAA VIZURI HAWAJACHELEWA
 
Lakini unachowafunza wenzako ni kama aina flani ya blackmailing...

Kutumia sex kama reward au bargaining mbona mnaishi maisha magumu sana kama watumwa...

Ukweli ni kwamba mwanamke kama umemtoa dinner vizuri na ame enjoy na kafurahi kuna asilimia kubwa akavutiwa ku sex na wewe, sio kwa sababu anatumia sex kam reward au bargaining lakini ni ile amekuelewa na anataka ku sex na wewe, kwa sababu anakuwa kwenye mood... Na ukimuudhi mwanamke anakuwa less likely au anakosa mood ya kushiriki ngono na wewe, ndivyo wanawake walivyo...

Kwa hili kusema mpaka kupewa pesa ndipo atoe K ni kujidanganya na huwezi kupingana na asili....
me nathan umepaniki kwasababu wanajifunza ukweli ambao uko mtaani na watu nanaishi hivyo
mwanamke kama haujielewi zitakazoumia ni sehemu zako za siri
nyie endeleeni kuwatumia ovyo ila wakishajua thamani zao hamtawaona tena
 
Nyege Zina taarifa sasa?Kuna mmoja alibana wee siku nime mhag tu kashaa lowa!Kumuuliza si ukisema Hadi mwaka uishe eti nyege zimenizidia!
sio kubana
huyo wako hajui thamani yake
mlete darasa langu la feminine atakaa sana
 
Watafute cha kufanya, ndoa sio kazi wala biashara..

Unakuta binti kamaliza chuo fresh Ila hataki kazi wala biashara, 24/7 anajipost mtandaoni kimitego na kwenda sehemu classic kuwinda wazungu. Hii ni aibu

Wafundisheni wadogo zenu kuwa financially independent maana bila hivyo wataburuzwa na kunyanyaswa
WOYOOOOOOOOOOOOOOO
 
Ni kumuombea Mungu tu aweze kuivuka mob psychology. Kuna mabinti wanadanga na kuwinda lakini kwao hakuna shida ya pesa Ila tu ni kufuata mkumbo wa kampani.

Ila kama umemtengeneza vizuri kujitegemea na kujitambua. Sio rahisi kuingia kwenye mitego kirahisi
hao hawajielewi wala kujitambua
hakuna mwanamke anaejitambua na kujua thamani yake akajiuza
hakuna
 
1. Usipojua thamani yako wewe mwanamke, utakuwa unaliwa kirahisi sana wewe mrembo na wanaume watakuozesha na ma UTI, Gonorrea na utaishia kulia wanaume washenzi wanaume wabaya

2. My dia, kuna wanawake wenzio ambao hawajui kulia kuhusu wanaume, hawajalogwa hawatumii uchawi wala uganga wanatumia akili ya kuzaliwa

3. kuna wanawake hapa mjini hawajui shida ya hela, wanapewewa hela hata kabla hawajatoa K yao kwa mwanaume

4. kuna wanawake wame-investiwa heavely na wanaume wanaowapenda, ndio wametoa K zao

sasa utachagua wewe, kulia au kucheka

ukitaka kucheka nifuate inbox nikufundishe jinsi ya kujua thamani yako kama mwanamke, jinsi ya kucheka kwenye swala zima la mapenZi na kupendwa. Kilio utasikia kwa majirani
MTASUBIRI SANA MPAKA ILIWE NA NYENYERE.
 
Back
Top Bottom