Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #281
hao wanaojipanga wakichoka tu na wakishajua thamani zao baaaas hutawaona tenaZimejipanga za buku kumi barabarani hizo ni sawa na bure tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao wanaojipanga wakichoka tu na wakishajua thamani zao baaaas hutawaona tenaZimejipanga za buku kumi barabarani hizo ni sawa na bure tuu.
NA NYIE MNAONA HAKO KADUDU KENU KAMA SEHEMU YA WADADA KUPONEA MATATIZO YAOYaani wanawake wanaona kale kauvimbe kao ni kama kitega uchumi,hopeless kabisa!
mpuuzi huyu kaona soko lake la bure linaishaEhee makubwa,ngoja aje akujibu
poleeee katafute saizi yako sio mimiNa mm nataka niwekeze kwenye mgodi naona bado una endelea kutema
ndio nachosemaWanaume wanaotoa hela kwa wanawake kama silaha ya kupendwa ni mazezeta na mara nyingi unakuta ni wanaume wezi makazini au wauza unga. Utampaje mwanamke hela wakati hana mchango wowote maishani mwako? Kwangu mimi mwanamke yeyote omba omba hana thamani kwangu na simpi muda wa kuongea nami hata siku moja.
me nadhani umesoma juu juu haujasoma nimeandika ndaniMwanamke na mwanaume , anayehitaji ngono Sana ni mwanamke.
anayetoa na anayepokea nani anamuhitaji mwezake?
Ungelenga zaidi kuwaambia wawe smart na wajitunze ili waone Kama hata watasitirika ktk ndoa.
malaya ni mama yako mzazi kama hajaolewa bikraHili kungwi malaya limekuja tena kuwafundisha wake zetu umalaya kama wake .
Tena linawavutia na huko WhatsApp ili liwafunze vizuri kigagula hili linatuharibia wanawake zetu
wameshakuja tangu nimetangaza wamefika 20Huku huwapati
acha roho mbaya weweKwani masikini wenzao si wapo, wanawake mizigo ni sida sana kuwa nao kwenye mahusiano. Utashangaa unaoa leo na kuhamia kwenu wiki ijayo familia nzima ya huyo mwanamke inahamia kwenu.
me nadhani umesoma juu juu haujasoma nimeandika ndani
ila waje kwenye darasa langu la whatsapp la feminine na tiktok watapona
utawala matahira sio wanaojielewaHata ukifika girls code 100 kuliwa kuko palepale
naomba nikuulize ww tafadhali..unamshauri mwanamke mwenzako apewe kiasi gani ili mwanaume aweze kupata mbunye kutoka kwake??wewe ni hela gani inakuuma ukiitoa, inayokuuma kabisa boss
nipo kazini kuamsha wanawake wasitumike bure au wasitumike kabisaHuyu Kungwi yuko kazini kupotosha wanawake !!!
Thamani ya mwanamke ni heshima yake, pesa zinapoingia thamani inaaguka vibaya depreciation to 0% ni haraka sana.
wewe ni kiasi gani ukiwekeza roho na moyo wako unauma? jibu kwanza weweNa mm
naomba nikuulize ww tafadhali..unamshauri mwanamke mwenzako apewe kiasi gani ili mwanaume aweze kupata mbunye kutoka kwake??
kama wameliwa basi waje niwafundishe jinsi ya kujua thamani zao wasiliwe tenaAsilimia kubwa waliomo humu washaliwa zamani tena kwa chips na pepsi ya baridi ila wanaku zoom tu,ushauri huu kawashauri wa shule ya msingi
Sio hawa wanaolala daily nje kama migomba
HONGERAWahuni huwa tunazigonga ki staff izo
We acha kuzugabiashara ya mapenzi ni kitu mbaya sana kukiwa na wizi, udokozi au dhuluma.
kwa mfano,
ni majuzi tu huko njombo, nilisoma kwenye vyombo vya habari, ati mumama moja wa miaka50, amenyofolewa utumbo kupitia kwenye kijambizi chake na kijana mdogo tu wa miaka33.
haikujulikana bado huyo kijana aliwekeza kiasi gani na walitofautiana kwenye nini hasa.
Hata hivyo, chanzo na sababu kuu ya yote hayo ni biashara na uwekezaji katika mapenzi.
so,
ni muhimu zaid kuwekeza kwenye upendo wa kwenye. Masuala ya hali na mali yawe ni ya ziada tu 🐒
HATUDANGANYANI TUNAWAAMBIA WADADA UKWELI AMBAO HAMTAKI WASIKIEMnadanganyana sana, usikute wewe mleta mada hauna hata mtu wa kukuwekak mjini.
tatizo lako unaleta siasa badala ya kutoa majibu...wewe ni kiasi gani ukiwekeza roho na moyo wako unauma? jibu kwanza wewe