Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hela wewe haujali karuu we ni gaidi..😂Tena ndo umri sahihi nina hela yangu KENZY ukizingua I throw you out.
Noma sanahawa viumbe wanaaNzaga kutumika mapema
Hahaha.Achana na hela wewe haujali karuu we ni gaidi..😂
Wadau wa Kiswahili tafuteni namna ya kukinusuru Kiswahili kinaangamia kwetu wakati ughaibuni kinatamalaki"Rebecca amefariki dunia baada ya kujinyonga hadi kupoteza maisha
Miaka 17 kaachika mara 3, alianza kuolewa akiwa na umri gani?"Rebecca amefariki dunia baada ya kujinyonga hadi kupoteza maisha kwa kutumia kamba iliyosukwa kwa chandarua kwenye kenchi ya nyumba yake, chanzo alikuwa akilalamika kwamba kwanini kila akiolewa anaachika na tayari alikuwa ameshaachika mara tatu"
Hivi unaweza hata kunywa sumu ya panya nikikutishia kukuacha..?Hahaha.
Sisi magaidi ndo tupo.
Mimi huyu huyu?Hivi unaweza hata kunywa sumu ya panya nikikutishia kukuacha..?
Very possible kuna wazazi hawajali kabisa.Huyu lazima aliozeshwa kwa nguvu ndoa zote hizo
Gaidi weweMimi huyu huyu?
Na wewe huyo huyo hata kadem ka kusadikika huna?
Kivipi yaani?
Uliza upate kupewa elimu.Rebecca AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUJINYONGA hadi KUPOTEZA MAISHA.
Huko shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga?
Umenifanya nifikiri zaidi ya uwezo wangu. Ushauri mzuri Sana umetoa.Wazazi tujifundishe kuwakaribisha watoto wetu nyumbani baada ya divorce.
A divorced daughter is better than a dead daughter.
Jamii zetu za kiafrika zina shida sana mwanamke anapoachika sasa mabinti wanaweza kujikuta wanaingia kwenye ndoa ilmradi tu waonekane wameolewa.
Pamoja sana Mkuu bila bilaUmenifanya nifikiri zaidi ya uwezo wangu. Ushauri mzuri Sana umetoa.