Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
Ha ha ha wanatuona sisi wadhambi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi huwa nikisikia mlokole sitaki mazoea nae
Nakaa nao mbali
Ofisini tuna kundi la waumini wa clear malisa yani wamedata wale watu huwa nawatazama mambo yao nasema hiiii in magus voice
Kwanza wanatuona sisi ambao hatusali nao kama mapepo wadhambi sana aisee
Kabisa mkuu.Ila jamaa hata miujiza yake haihitaji akili nyingi kujua km ni tapeli au laana. Kuna muujiza ule anajifanya anatembea hewani yani uongo live kabsa. Upo muujiza mwingine anatumia kemikali ya Permanganate, Glycerin na maji kutengeneza moto aafu anawaambia waumini eti ni moto wa roho mtakatifu kutoka mbinguni.Video ipo Youtube search "Fire from Heaven" [emoji38][emoji28][emoji38][emoji28]
Asante! BroHuyu masanja ndio bushiri ajaye
KumbeeeMaserati ni gari ghali duniani ambazo zinatumia nembo maalum ya TST (The Satanic Temple).. Yaani hekalu la shetani.. Ili kuficha ukweli huu nembo imewekwa kibiashara zaidi lakini unapofika kwenye masinagogi yao kila kitu kiko wazi
Mojawapo ya kuwa mwanachama hai wa TST ni utayari wa kutoa kafara la damu kwa uzao wako
Na hili hujulishwa mapema kabisa ili kulinda nguvu, umaarufu na utajiri wako.. Na huyo mpendwa wako, ili kuonesha kuwa ndio utamtoa sadaka basi utampa chochote cha gharama chenye chata la TST
Bushiri mwaka 2017 alimnunulia mwendazake kwenye birthday ya kutimiza miaka 6 gari la Maserati lenye thamani ya kama 1.2BILLION
Kwa kawaida mtu unayemuandaa kwa kafara unatakiwa kumpa bata la kufa mtu wakati wa uhai wake kwakuwa hataishi kuona uzee wake
Je hili la Bushiri ni kafara la sadaka kwa TST?View attachment 1740847View attachment 1740848View attachment 1740849
Huwa wanaiba kuna mganga alikuwa rafiki yangu walipanga wakaibe bank kwa uchawi, walipambana haswa na nguvu ya kule walifanikiwa kupata laki moja tu
Kinyozi hajinyoiHuyu si ndo anaefufua watu hadharani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sina mbavu lolJana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mlokole acha wenge[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Utatolewa na we kafara siku moja[emoji16][emoji16][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16]noma sana dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sina mbavu lol
Prophet Bushiri Buys 4-Year-Old Daughter a U.S.$414,000 Maserati
Hiki kifo Bushiri anaweza kutuhumiwa kafaraView attachment 1740838
Walokole wajinga ni wale hawasomi neno la Mungu na biblia na wao hupenda miujiza na kuzunguka kwa manabii uchwara, kutwa kuombea wengine mabaya waharibikiwe, dah ofisini nikikumbuka nilivochongewa na mlokole jina Sina hamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi huwa nikisikia mlokole sitaki mazoea nae
Nakaa nao mbali
Ofisini tuna kundi la waumini wa clear malisa yani wamedata wale watu huwa nawatazama mambo yao nasema hiiii in magus voice
Kwanza wanatuona sisi ambao hatusali nao kama mapepo wadhambi sana aisee
Huyu bushiri alikuwa kinara wa makafara ya ngono alikuwa anabadilisha warembo ka nguo ikiwemo na Hilo kanisa lake la Tanzania, na wadada walikuwa wanamkimbilia mnoHaya mambo yana kilele.. Ukishafika kileleni huwezi kwenda mbele zaidi... Kifuatacho ni anguko kuu...!!!
Inapofikia hatua ya kutoa kafara damu yako maana ulishamaliza makafara mengine yote, ya wanyama, ya ngono, ya binadamu wengine... Sasa hilo ndio silaha ya mwisho kama mama yake alishakufa lakini... Kama bado yuko hai... Ajiandae
Yaaan acha tyuuuh[emoji16][emoji16][emoji16]noma sana dear
MaaganoSasa kwa umri huo hiyo Gari ya kazi gani?
Ni satanismAkuna shida freemason katoa kafara mtu anaempenda.
Mtume bushiriHilo gar ni la mtoto duuh mbona kufuru ni nan kwan huyu jaman