Mwache akapange ajifunze maisha mkuu. Hata kama kunakitu nyuma ya pazia acha kimpate hiyo ndiyo elimu dunia. Kisicho kuua kitakuimarisha kiakili. Cha msingi mpe baraka zako kama baba mengine mwachie MUNGU full stopHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
hata kama ana hiyo miaka bado ni mtoto tu pili kama hana kazi hilo ni tatizo jingine.Endapo kuna mtu pembeni ndo anafanya hayoyote huyo ni tapeli tu maana kama ana mpenda kweli aje nyumbaniHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Wizoo mie ndoa niko nayoo, na nilianza kuolewa kabla ya uduguu etu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca bado anadanga [emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3] wanataka wafaidi wenyewe tu, ubinafsi!Ndo acha wafanyane na kuzalishwa sana, muda wao ndo huo.
Wafaidi utamu wa maisha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasa, ila chuo life tamu sana, hasa uwe na maokoto plus boom.[emoji3][emoji3][emoji3] wanataka wafaidi wenyewe tu, ubinafsi!
Wewe wizo acha uwaki, kwahiyo tusijipambanie tusubiri kuolewa na kubebwa km kifurushi??mtoto wa kike anatoka nyumbani akiolewa basiii na si vinginevyo.
Mtoto wa kike hapangi geto.
Cc: Lamomy Poor Brain
Apunguze sasa maana daah nahisi kawa proo max πππCoca bado anadanga π
Ahahahha hakuna kitu kama hicho wewe khaaa uwongo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeolewa na lecturer, tena Depart ya Engineering.
πππππAchana naye wizo anazingua
Mtoto wa kike anajipambania nini πππ mtoto wa kike ni kusubiri ndoa na kutunzwa basi... unapambana kwani we ni Goliati?Wewe wizo acha uwaki, kwahiyo tusijipambanie tusubiri kuolewa na kubebwa km kifurushi??
ππππππ na lecturer?Wizoo mie ndoa niko nayoo, na nilianza kuolewa kabla ya uduguu etu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize akuambie
Unataka nikateseke kwa mume?? Akhu! πππMtoto wa kike anajipambania nini πππ mtoto wa kike ni kusubiri ndoa na kutunzwa basi... unapambana kwani we ni Goliati?
Kama ulitaka kuwa goliati si ungesema tu! π₯±
π€£π€£π€£Sio mahitaji yote............umempa unyumba mpaka useme mahitaji yote
πAnarudi na mimba huyo
Ubaya ubwelaMuache akaulilie si kautaka