Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti


na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
Hivi ndivyo nilivyoona hata kwa dada zangu, waliondoka walipopata ndoa,
wazee wa zamani walikuwa na misimamo yao.
 
Kahalalisheee tu mkuu...

Ilaa Mali zako zote mwandikiee mama Yako km hakimu..

Cku yakitokea yakitokea katka hyo ndoa usijutee maaan inaonekana unaulazimisha moyo ufanyee ktu ambacho Kwa ndoa za kikristo au waislam czan km kpoo mkuu..
 
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Huwezi kumpa kila kitu...chakula, mavazi, malazi na pesa sio kila kitu.
Anatafuta uhuru wa kujiachia na bf wake.
Kaa vizuri na mkeo anaujua ukweli
 
Back
Top Bottom