Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Kwa maandishi yako na hasira zako.
1. Binti yako hana kazi ya maana. Maybe iphone inamchanganya na status za marafiki. Plus room pictures za maghetto instagram.

2. Binti yako hana elimu ya courtship and marriage.

Uko sahihi kutomruhusu wala usimruhusu ila. Mpe elimu.
Kuna thamani sana akitulia asubirie suitor. Kama amemaliza masomo, kama yupoyupo tu. Asiwe na haraka za maisha. Time is going very fast.
Atulie, mwambie umuhimu wa ndoa na kwanini unamkataza asiondoke hapo.
Kuolewa ni jambo la mara moja na vijana wengi hawana elimu nalo. Mpe elimu. Be open. Kama kuna suitor amlete mumjudge kama anafaa atolewe mahali, aolewe akaishi kwa amani bila stress. The world is to huge to stress up. Atawaza hata kwenda mozambique kuuza mawe mara auze sandal, while life was in her hands once upon a time. Atakaa huku jf atafute ajira au aulize kwa mtaji wa laki afanye kazi gani.
Atulie. Maisha yapo mikononi mwake. Mpe uhalisia.
NB: kiukweli kwa niliyopitia mimi, mpaka kufika nilipo huwa naumia sana kuona kijana anachezea muda. Waambieni if they have time, they shouldn’t play with it. Maisha ni mazuri sana ukifata protocol.
ASIYE FUNZWA NA MAMAYE , UFUNZWA NA ULIMWENGU.
SCHOOL NEVER ENDS, SCHOOL NEVER LOOSE. Elimu haiishi, elimu haipotezi. Usimbanie elimu.
 
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kipo...huenda ana mahusiano
 
nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti


na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
Labda umsaidie mleta uzi, nini hasa kinapelekea mawazo hayo?
 
Ana miaka 24,ni binti,akapange?
Kanogewa na paipu huyo,anataka uhuru,atapigwa kinoma,Kama alikua ana angalau sifa za kuolewa,yamkini sifa zinaenda kupungua,yaani brother,huyo binti atapigwa kinoma,kipigo kile cha hatari.
Wadadà waliojipangia wanajua yanayowatokea ingawa kiuhalisia watakataa,brother kama as likua hajui definition ya kupigwa miti,ndiyo anaenda kukeshea.
Jiandae kisaikolojia kupata single mother.
Huoni kwa wadads,mfano UDOM pale,wana hostel za kutosha,ila wadadà wanaamuaga wajipangie,unadhani ninini brother,wanapigwa miti kinoma,yaani wanaolewa au wanadanga huku wanasoma.
 
Utandawazi na watandawazi wameshamvuruga akili,,nafsi,,na roho,,,wameshamwaminisha maisha ni mepesi sana na walivyo na roho mbaya unaweza kuta wameshamtafutia na Mlamba Asali,,,Halafu ukifatilia zaidi wanao mshawishi ni rafiki zake ambao unaweza kuta hawana mbele wala nyuma,,,wao wameshaharibu sasa wanamwonea wivu wa kwako,,,wanataka nae aharibikiwe kindezi kama wao!!!Hapo unahitaji ufanye uamuzi Wa Kiume uliojaa Hekima ,, Busara na maono Kama Mwanaume,,,Kama Baba,,Kama mlinzi wa Kizazi chako na usiogope kukaa nae chini umweleze ukweli tuu kwa huu ulimwengu wa sasa ya kwamba maigizo ni mengi kuliko uhalisia wa mambo yalivyo!!!Wakina Paula kajala wanawavuruga sana hawa watoto wa kike wa sasa wanafikiri **** ni mtaji!!!Mfungulie mradi wowote achakarike nao kwa sasa na hakikisha unamsimamia haswa ili aendelee kukomaa zaidi kimaisha na kiuchumi!!!
 
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
waacheni watoto watapate changamoto mpya..... wazee wa siku hizi hambadiriki sijuhi mnatizamaje maisha
 
Back
Top Bottom