dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
uzi ilibidi ufungwe hapaKama Hana bwana mmoja WA kumpangia nyumba atakuwa anataka Uhuru wa kudanga ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzi ilibidi ufungwe hapaKama Hana bwana mmoja WA kumpangia nyumba atakuwa anataka Uhuru wa kudanga ...
Kha! Mama mbabe kweli kwelinakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
yaani nampenda hivo hivo bila ya yeye kusimama imara nisingekua hivi leo hiiKha! Mama mbabe kweli kweli
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Duh... Sasa usipo olewa itakuwajeMpaka niolewe ndo ntaondoka nyumbani au nipate kazi mkoani
Aisee hatariyaani nampenda hivo hivo bila ya yeye kusimama imara nisingekua hivi leo hii
nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
mimi nilitaka tu niwe natokea kwangu, yan maisha ya kujipangia leo sili nilale njaa, uhuru uliopitiliza na kwa muda huo nilikua nafanya kazi sio siri hakuwah kunibana zikitokea events kazini ni lazima nimweleze hakuwah kunikatalia uzuri nilikua narudishwa saa zingine usiku saa sita sasa kikubwa ni ule uhuru wa kupitiliza, kutaka kua na maamuzi yangu hiko ndio nilikitakaLabda umsaidie mleta uzi, nini hasa kinapelekea mawazo hayo?
hamna hatari yoyote ileAisee hatari
Akipanga mwenyewe Wala haoelewi
huyo mtoto hakikisha kwanza kuna malez uliyomlea ya kukusikiliza kama mzaziVery good, nafikiri hii nitatumia kwa binti Yangu
Atakuwa amekufa ndio ametoka kwao, maana kuolewa bado hajaolewa.Bado unaishi kwenu?
Akayatafutie wapi ambayo nyumbani hakuna?Unakosea sana miaka 24 ni mtu mzima mwache akatafute maisha
huyo mtoto hakikisha kwanza kuna malez uliyomlea ya kukusikiliza kama mzazi
hope wewe ni baba, watoto wa kike wako karibu na baba zao kuliko mama zao, hakikisha kwako anajisikia amani yan awe huru kukueleza lolote linalomsibu hata lie la kijinga halaf la mwisho uangalie marafiki zake anao hangout nao hao ndio wabaya,Tunaenda sawa kabisa, she is just 12
tanzania hadi miaka 30 ndo kidogo mtu mzima ila miaka 18-29 wengi bado ni watoto hata kujisimamia hawaweziUnakosea sana miaka 24 ni mtu mzima mwache akatafute maisha
mbona unanijibia au wewe ni pacha wangu unanijua sana kuliko navyojijua?? f.y.i nimeolewa na ni mama sasa, umeridhika??Atakuwa amekufa ndio ametoka kwao, maana kuolewa bado hajaolewa.
kuna mengi kwa huyu mtoto wa huyu mtoa madaAkayatafutie wapi ambayo nyumbani hakuna?
hope wewe ni baba, watoto wa kike wako karibu na baba zao kuliko mama zao, hakikisha kwako anajisikia amani yan awe huru kukueleza lolote linalomsibu hata lie la kijinga halaf la mwisho uangalie marafiki zake anao hangout nao hao ndio wabaya,