Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Kwanini,wanaume tunaogopaga wanawake waliopanga wenyewe
Kuna character za mtu unaweza msikiliza anachohitaji na Kuna wengine you can't hata iweje.
1.je amepata kazi nje ya mkoa ulipo?
2.ana business proposal amekupatia kua anahitaji uhuru iliaweze fanya?.
3.anakipato kitakachomtosheleza kuhimili maisha ya mijini...at least basic needs.
4.or ni wale mummy and dad sasa masela wanaona dingi anaweka kauzibe tusepe home.
NB
Kuondoka home inahitaji sababu nzuri na za mana kwa mtoto wakike. .soon utaletewa wajukuu wasio na baba tena wengi tu.
 
nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti


na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
Kwa kweli kwa binti ambaye hana kazi halali ya kumuingizia kipato hilo jibu ni sahihi kabisa!
 
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kumbe humu ndani ukiwa na adabu unaweza kupata mke,natamani wazazi wangu wangenisaidia kwenye zoezi la kuoa juhudi zangu binafsi zimeshindwa kuzaa matunda.
 
Usimruhusu usimruhusu usimruhusu, mtoto wa kike akishaanza kupanga tu ni tatizo ndio hao wanaishi na mwanaume kinyumba pika pakua si unaona vyuoni? Mtoto wa kike akae nyumbani mpaka aolewe, labda awe amepata kazi nje ya mkoa mnaiishi hapo sawa, lingine mwanamke akijipangia anakuwa chakula cha wote, tofauti na akiwa kwako angalau anakuwa cha wageni
 
Back
Top Bottom