Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Sio hivyo Sir. Zamani binti wa miaka 24 tayari angeweza kuwa hata na kijukuu maana angekabidhiwa mume mara alipovunja ungo. Makabila mengine hata kabla ya hapo. Haya mambo ya mwanamke wa miaka 24 kuonekana bado mtoto anayetakiwa kuongozwa na mzazi wake ni ya siku hizi na ni ya kwetu tu. Mwanamke wa miaka 24 ni mtu mzima na ana haki ya kujifanyia maamuzi yake ( hata makosa) bila kuingiliwa na mwengine.

Amandla...
Kwa mila zetu kwa miaka ya zamani binti miaka 24 kama hajaolewa baso bado ni mtoto wa mama na huenda akawa bado bikra na anakaa nyumbani na kupangiwa kila kitu cha kufanya na wazazi wake
 
nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti


na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
Huyu sasa ndio Mama. Sio hawa wa mwendokasi
 
Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Hapana unakubali unampoteza mapema sana ....muache awe hapo home
 
Nataka nikamkabidhi! Namuombea maisha marefu na yenye amani zaidi. Juzi tarehe 13 Mama yangu alitimiza miaka SITA kaburini. Kama uko na mzazi mpende sana
yupo kwake hukoooo, aaamyn mkuu huyu ni mzazi wangu aliebakia baada ya kumzika baba yangu karibu miaka kumi na tano iliyopita, pole sana mkuu kuondokea n kugumu hasa awe ni mtu wako muhim
 
Back
Top Bottom