Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏Uamuzi was busara sana...!
😂😂😂😂 una uhakika tutakua hai mpaka muda huo
Kwhiyo uko bado kwa mzazi???nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKama Hana bwana mmoja WA kumpangia nyumba atakuwa anataka Uhuru wa kudanga ...
Hebu njoo PM nikuongeze hela ya Kodi ..uache ugali WA shikamoo..😅Mpaka niolewe ndo ntaondoka nyumbani au nipate kazi mkoani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]24 yrs anatakiwa nimuweke gheto kwanza apate experience kidogo ya ndoa ya mchongo siyo kuendelea kumng'ang'ania hapo nyumbani atakuja kunisumbua bhana.
Mzee naomba tu nioe kwakointi yaki japo mahari kwa sasa ni changamoto.Anayo 24
Aamen Amenyupo kwake hukoooo, aaamyn mkuu huyu ni mzazi wangu aliebakia baada ya kumzika baba yangu karibu miaka kumi na tano iliyopita, pole sana mkuu kuondokea n kugumu hasa awe ni mtu wako muhim
Samahani sana bimkubwa. Nakutakia kuolewa kwema shangazimbona unanijibia au wewe ni pacha wangu unanijua sana kuliko navyojijua?? f.y.i nimeolewa na ni mama sasa, umeridhika??
😀😀😀😀uniongezee au unipe yote babaaHebu njoo PM nikuongeze hela ya Kodi ..uache ugali WA shikamoo..😅
Angekua wa kiume sawa...Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kama huu 24yr usimruhusu. Toka naye out piga story akuambie ya moyoni ,mwambie dunia Ni Ile Ile anapopitia ulipitiamo na umwambie ulivyokuwa na wachumba wengi kabla ya kumuoa mamaye.Anayo 24
Mmh wengine tuu tunakarbia 27 na haturuhusiw kuondoka nyumbanUsimruhusu.
Subiria wa kwako umzae ndio utakuja kumruhusu24 yrs anatakiwa nimuweke gheto kwanza apate experience kidogo ya ndoa ya mchongo siyo kuendelea kumng'ang'ania hapo nyumbani atakuja kunisumbua bhana.
hii ni digital na siyo analog, endeleeni kukaza mafuvu kwa watoto wenu, end of the day ndo hawa hawa kina hiba abouk. [emoji16]Subiria wa kwako umzae ndio utakuja kumruhusu
Ana umri gani?Ana kazi rasmi inayomuingizia kipato?hayo ndio maswali ya msingi ya kuzingatia kabla hujamruhusu aondokeHabari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?