Birthday yangu inakaribia, sina amani wala furaha, na sifurahii kitu

Birthday yangu inakaribia, sina amani wala furaha, na sifurahii kitu

Tatizo lako litaisha anzia hapa
IMG_20230306_185711_640.jpg
 
Kuna biashara nyingi nilikuwa nafanya. Kuna mkopo nilichukua kwa ajili ya kujenga nyumba za biashara, collateral ikawa ni hizo nyumba. Kuna mkopo mwingine nilikopa against FDR, FDR zikawa ndio collateral. Pia kuna mkopo mwingine niliuchukua shamba la mbao ndio lika secure mkopo huo.
Ulitangatanga mno, biashara ukigeuza mgongo tu umepigwa.
 
Pole Sana, Ila mkopo ni kifungo ,debt is good but lazima iwe sustainable, principle kubwa kila mtu anafaa kujifunza ni kuwa usikope kupita kiasi. Tujifunze kujua net worth yako na income .
Never take on a loan ambayo inapita 20% of both your net worth and income , hapa Incase mambo yakienda mrama ,bado uko fiscal space yakulipa Hilo deni .
My advice tafuta rafiki au wakili akusaidie na debt restructuring as quick as possible .
Otherwise utapoteza assets zote ambazo uliweka collateral
 
Pole Sana, Ila mkopo ni kifungo ,debt is good but lazima iwe sustainable, principle kubwa kila mtu anafaa kujifunza ni kuwa usikope kupita kiasi. Tujifunze kujua net worth yako na income .
Never take on a loan ambayo inapita 20% of both your net worth and income , hapa Incase mambo yakienda mrama ,bado uko fiscal space yakulipa Hilo deni .
My advice tafuta rafiki au wakili akusaidie na debt restructuring as quick as possible .
Otherwise utapoteza assets zote ambazo uliweka collateral
Sawa mkuu
 
Sina mke licha ya kwamba nina watoto wawili kwa mama wawili. Nina madeni kila idara, biashara haziendi kabisa na sikopesheki tena.

Nadaiwa NMB, NBC na Benki ya Maendeleo Bank Bank ya kanisa.

Nina msongo mkali sana wa mawazo maana mpaka sasa malI zangu zimepotea kwa kuziweka kama collateral kwenye taasisi mbalimbali za kifedha.

Kila siku iendayo mbele, napoteza tumaini na furaha.
Kukopa sio tabu ila tatizo watu mnakopa mikopo ya Riba tena riba kubwa hatariii

Mm kwa imani yangu Muislamu aisee Mungu aniepushe na kuja kuchukua mikopo ya riba katika maisha yangu kwani Mungu wetu ameshatuahidi wala Riba wote wataangukia pabaya mnoo na hili linajionesha kwako mtoa mada

Mikopo ya Riba haifaii ni kuumizana sio kusaidiana
 
Kukopa sio tabu ila tatizo watu mnakopa mikopo ya Riba tena riba kubwa hatariii

Mm kwa imani yangu Muislamu aisee Mungu aniepushe na kuja kuchukua mikopo ya riba katika maisha yangu kwani Mungu wetu ameshatuahidi wala Riba wote wataangukia pabaya mnoo na hili linajionesha kwako mtoa mada

Mikopo ya Riba haifaii ni kuumizana sio kusaidiana
Sawa mkuu
 
Kama alivyotangulia kusema ndugu Bandar Abbas utafute wakili wa kukusaidia kuokoa vinavyowezekana. Mimi kwa kuongezea tafadhali anza kumalizana na ile mikopo ambayo unaona sio mikubwa. Wanaodai hela ndogondogo huwa ni hatari sana wanavyodai. Pia achana na mambo ya birthday kwa sasa. Ukikumbuka umri huku unadaiwa inaongeza ukubwa wa tatizo. Mimi pia niliwahi kupitia hiyo hali kwahiyo naelewa stress yake.
 
Sina mke licha ya kwamba nina watoto wawili kwa mama wawili. Nina madeni kila idara, biashara haziendi kabisa na sikopesheki tena.

Nadaiwa NMB, NBC na Benki ya Maendeleo Bank Bank ya kanisa.

Nina msongo mkali sana wa mawazo maana mpaka sasa malI zangu zimepotea kwa kuziweka kama collateral kwenye taasisi mbalimbali za kifedha.

Kila siku iendayo mbele, napoteza tumaini na furaha.
Are u Teacher dawa ya deni ni kulipa
 
Kuna biashara nyingi nilikuwa nafanya. Kuna mkopo nilichukua kwa ajili ya kujenga nyumba za biashara, collateral ikawa ni hizo nyumba. Kuna mkopo mwingine nilikopa against FDR, FDR zikawa ndio collateral. Pia kuna mkopo mwingine niliuchukua shamba la mbao ndio lika secure mkopo huo.
Sasa ikawaje?
 
Kuna moments kwenye maisha unaweza jikuta umepoteza Kila kitu....yani I mean Kila kitu.....biashara zitakufa zooote, Hela zitaisha zooote Hadi utaomba elfu 5 Kwa watu halafu sasa utapoteza na watu wooote uliokuwa unawaona wako karibu na wewe....ila katika hiyo Hali omba sana Mungu usipoteze moyo na akili yako maana Kwa uzoefu wangu hicho kipindi kitapita na utagundua umejifunza mengi sana ya thamani ambayo usingeweza kuyafahamu kama mambo yote yangeendelea kua sawa.......tunza moyo wako, hayo yatapita.
 
Back
Top Bottom