Birthday yangu inakaribia, sina amani wala furaha, na sifurahii kitu

Birthday yangu inakaribia, sina amani wala furaha, na sifurahii kitu

Mn
Daa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.

Mi pia nilizaliwa 31/03/....
lakini katika docs zangu huwa natumia 01/04/....(naomba pia mnishauri kama ni mbaya kiroho/kidunia,,,

Basi bwana,pia binafsi napitia kipindi kigumu kama mtoa mada anavyopitia,
Nikekopa kote,
Nimeuza vyote ili kujinusuru lakin bado wapi!
Zaidi ninadeni jingime baya mno!
Naomba wataalam tuelezeni,nini hiki jamani!!
Hata nimeshindwa kihudumia watoto,mama yao kawaficha anasema mpaka nikilipa gharama zake ndo ananiruhusu kuwaona
Awaza uchawi na ushirikina tu
 
Pole sana brother...its just a phase,endelea kukaza. Always,there is a light at the end of the tunnel.
 
Mkuu kamwe usiweke wazo hata tone la kukata tamaa. Ni vipindi ambavyo kwa mwenye kusaka mafanikio ni kawaida sana kukutana navyo ingawa vinakua na sura tofauti kati ya mtu na mtu. Ulipo ni point ambayo inatakiwa uwe imara makini zaidi (kwa kujipush i know is not easy but its the only option and is possible) kuliko vipindi vingine, jipe nguvu take it as a battle ambayo ukilegea adui anawin na wewe ndo inakua anguko lako, pambana mpaka tone la mwisho yatakayoanguka let them be and learn the lesson, kwa sababu mwisho wa siku kila kitu kinasababu ya kutokea kwake. Again pambana I mean real hard the rest mwachie God/nature. Huku ukiwa unapambana no matter upo down kiasi gan ungeweza pia kujipush kusoma kitabu cha "The power of now" by Tolle kingekusaidia sana kisaikolojia
 
Usikate tamaa mkuu, wewe ni fighter na utasimama imara tena! Muda utaongea..
 
Daa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.

Mi pia nilizaliwa 31/03/....
lakini katika docs zangu huwa natumia 01/04/....(naomba pia mnishauri kama ni mbaya kiroho/kidunia,,,

Basi bwana,pia binafsi napitia kipindi kigumu kama mtoa mada anavyopitia,
Nikekopa kote,
Nimeuza vyote ili kujinusuru lakin bado wapi!
Zaidi ninadeni jingime baya mno!
Naomba wataalam tuelezeni,nini hiki jamani!!
Hata nimeshindwa kihudumia watoto,mama yao kawaficha anasema mpaka nikilipa gharama zake ndo ananiruhusu kuwaona
Kwamba mliozaliwa miezi hiyo tu ndio mnapitia changamoto za madeni???

Sio kweli....ukweli ni kwamba Kuna muda tunachukua mikopo Kisha tunajisahau kuwa zile pesa zinatakiwa zizalishe Kisha faida ndio irudishe mkopo, sisi tunautumia mkopo kwenye mambo ambayo hayazalishi ili yanameza pesa kama kununua viwanja/nyumba kujenga nyumba, kununua gari ambalo baada ya kununua litakuwa linahitaji kuhudumiwa, kununua samani ziwe za nyumbani au ofisini ambazo si za lazima, kuongeza gharama za maisha ambazo si za lazima.

Kuna muda tunachukua mkopo Kisha tunaanzisha biashara ambayo hatujawa na uzoefu nayo kuwa mzunguko wake upoje, mkopo sio wa kuanzishia biashara mpya.

Lakini Kuna muda ni kweli biashara ile ile ambayo ilikuwa sahihi kuchukulia mkopo inaporomoka hii Sasa inakuwa kweli shida ambayo hatukutarajia ila wengi wetu tunachukua mikopo tunafanyia vitu visivyozalisha.....matokeo yake kile kidogo kinaenda kwenye marejesho Hadi kinaisha tunaanza kuuza na vitu.

Na maisha bila mikopo haiendi labda Kwa wenzetu wachache waliobarikiwa vyanzo vya mapato vikubwa, muhimu kujitathmini kwanini tunachukua mikopo.
 
Asante dada. Mungu akuepushe na kupata watoto kama unadhani watoto ni chanzo cha kuanguka kwa biashara
Unaambiwa ukweli unakuja na laana za kindezi nyie ndio mnatujazia watoto wa mtaani kwa tabia zenu za kuzaa ovyo.
 
Ingekua mie ndo ww nisingekumbuka leo ni besidei yangu au leo ni pasaka.
Hiyo ni title tu ili kuvutia wasomaji watake kujua ndani kuna nini, na ndio maana ulivyofungua ndani hakuna maelezo ya birthday bali kile anachopitia,

Kama sio mwandishi huwezi kuelewa vitu kama hivyo.
 
Nilichojifunza Madeni yanafilisi tena madeni ya riba sio tu kufilisi yanaweza hata kutoa uhai,
Kila anayelalamika mambo kwenda vibaya nyuma yake ana deni/madeni ya riba, hii iwe funzo kwa wengine, tukope kwa kiasi na malengo ikiwezekana tusikope kabisa bora kudunduliza,

Poleni nyote mnaopitia changamoto, msikate tamaa katika suala zima la upambanaji, ukianguka inuka simama vizuri songa mbele.
 
Mkuu Mimi pia birthday yangu inakaribia na ninapitia same situation, Madeni mengi sana, Nimepoteza mali nyingi, hapa nakaribia kupoteza nyumba ninayoishi kama sio leo ni kesho, Maana leo ndio ilikuwa mwisho..

Daah! Sijui hata nafanyaje.. Kwa kweli nimechoka sana na sijui nafanya nini ,
Dah p0le sana ndugu....!!!Hii kup0teza nyumba ndi0 Kitu yauma sana sana sana..Viatu vyak0 havivaliki kaka...
 
Kila jambo na wakati wake....imeshikana Leo itawezekana kesho
 
Pole sana mkuu. Binafsi naona nitoe ushauri kwa suala la kiimani zaidi. Sijajua wewe wa dini gani lakini namna kubwa ya kuaddress tatizo linalokupa mfadhaiko ni kusali/kuswali.

Mi naona ujizime data, rudi kwa Mungu. Yeye ndie atupaye akili katika mambo yote. Toba ya dhati na kusudio la kubadilika katuka njia ambazo hazimpendezi. Sawa katika ubinadamu wako ulishateleza mara kadhaa and you shouldnt be proud maana kuwa na mtoto bila ndoa au mkataba maalum mbele za Mungu..sion kama ni sawa.

Anyways kusudia kubadilika na kuishi katika njia zinazompendeza muumba wako. Dhahabu na fedha ni mali yake, yeye ndie atoaye riziki. Kweli hiki ni kipindi kifupi na kitapita lakini..ni muhimu mabadiliko yawepo ili maisha yawe bora tena. Kama una formula zako basi zitumie..tunatofautiana. Ni mtazamo tu.
 
Zaidi ya shoga. Mwanaume mwenye ndevu pamoja na misuli iliyokaza mikononi unaanzaje kuongelea birthday? Una shidaa mahala
Wewe ni mtoto, hujakutana na mitihani ya maisha bado. Birthday sio sherehe, Birthday ni kikumbushi cha kukumbusha kwamba unazidi kuzeeka, je umefanya nini?

Ndio maana I'm getting stressed.
Wewe unaishi kwa shemeji hata hujui kulipa luku nawe wajiona mwanaume.
 
Unaambiwa ukweli unakuja na laana za kindezi nyie ndio mnatujazia watoto wa mtaani kwa tabia zenu za kuzaa ovyo.
Watoto wawili ni kuzaa hovyo? Unajua plan yangu ya maisha? Nyie mahanithi na wagumba ulemavu wenu unatuletea kero tu
 
Back
Top Bottom