MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kweli ndugu ... hiki kipindi ni cha kulinda tu akili isivurugwe. Kinyume na hivyo ni kuanguka mazima...Kuna moments kwenye maisha unaweza jikuta umepoteza Kila kitu....yani I mean Kila kitu.....biashara zitakufa zooote, Hela zitaisha zooote Hadi utaomba elfu 5 Kwa watu halafu sasa utapoteza na watu wooote uliokuwa unawaona wako karibu na wewe....ila katika hiyo Hali omba sana Mungu usipoteze moyo na akili yako maana Kwa uzoefu wangu hicho kipindi kitapita na utagundua umejifunza mengi sana ya thamani ambayo usingeweza kuyafahamu kama mambo yote yangeendelea kua sawa.......tunza moyo wako, hayo yatapita.
Mungu amsaidie, atavuka tuuKweli ndugu ... hiki kipindi ni cha kulinda tu akili isivurugwe. Kinyume na hivyo ni kuanguka mazima...
Hiyo nyumba tafuta mwanamke,Katoe rushwa bakwata wakupe cheti Cha ndoa Cha zamani zaidi na huyo mwanamke,Kisha mpange kuzuwia Mali zako kupigwa mnada,aseme mlitafuta woteMkuu Mimi pia birthday yangu inakaribia na ninapitia same situation, Madeni mengi sana, Nimepoteza mali nyingi, hapa nakaribia kupoteza nyumba ninayoishi kama sio leo ni kesho, Maana leo ndio ilikuwa mwisho..
Daah! Sijui hata nafanyaje.. Kwa kweli nimechoka sana na sijui nafanya nini ,
Miaka zaidi ya 20 napambana kumiliki hio gari hakieleweki!
Pole sana stress kwa binadamu ni kawaida ila inabidi upambane nazo huko mbele mambo yatakua sawa ww siyo mkamilifu yatapita tuSina mke licha ya kwamba nina watoto wawili kwa mama wawili. Nina madeni kila idara, biashara haziendi kabisa na sikopesheki tena.
Nadaiwa NMB, NBC na Benki ya Maendeleo Bank Bank ya kanisa.
Nina msongo mkali sana wa mawazo maana mpaka sasa malI zangu zimepotea kwa kuziweka kama collateral kwenye taasisi mbalimbali za kifedha.
Kila siku iendayo mbele, napoteza tumaini na furaha.
Daa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.Mkuu Mimi pia birthday yangu inakaribia na ninapitia same situation, Madeni mengi sana, Nimepoteza mali nyingi, hapa nakaribia kupoteza nyumba ninayoishi kama sio leo ni kesho, Maana leo ndio ilikuwa mwisho..
Daah! Sijui hata nafanyaje.. Kwa kweli nimechoka sana na sijui nafanya nini ,
Kwani jamaa yeye kasema ni Bakhresa? Hata marais huwa wanakuwa na birthday na ziko knownsijawahi kuwasikia kina bakhresa wana birthday, haya ni mambo ya kishuleshule na kikekike
Pole sana mkuuDaa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.
Mi pia nilizaliwa 31/03/....
lakini katika docs zangu huwa natumia 01/04/....(naomba pia mnishauri kama ni mbaya kiroho/kidunia,,,
Basi bwana,pia binafsi napitia kipindi kigumu kama mtoa mada anavyopitia,
Nikekopa kote,
Nimeuza vyote ili kujinusuru lakin bado wapi!
Zaidi ninadeni jingime baya mno!
Naomba wataalam tuelezeni,nini hiki jamani!!
Hata nimeshindwa kihudumia watoto,mama yao kawaficha anasema mpaka nikilipa gharama zake ndo ananiruhusu kuwaona
Mshikaji anapitia kipindi kigumu, anahitaji faraja na si kashfa. Kuna siku utapita njia anayoipitia jamaa, utazikumbuka hizo kashfa na dharau unazozifanya leoUnaweza kuwa mvulana bado
Watoto kwa ss wasikupe shida ,Kama walipo wanakula ,na wapo sawa isikupe taabu ,cha msingi kaa chini chora ramani ya madeni ,Kisha piga plan yakutoka kwa madeniDaa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.
Mi pia nilizaliwa 31/03/....
lakini katika docs zangu huwa natumia 01/04/....(naomba pia mnishauri kama ni mbaya kiroho/kidunia,,,
Basi bwana,pia binafsi napitia kipindi kigumu kama mtoa mada anavyopitia,
Nikekopa kote,
Nimeuza vyote ili kujinusuru lakin bado wapi!
Zaidi ninadeni jingime baya mno!
Naomba wataalam tuelezeni,nini hiki jamani!!
Hata nimeshindwa kihudumia watoto,mama yao kawaficha anasema mpaka nikilipa gharama zake ndo ananiruhusu kuwaona
Saizi kuna tofauti Kati ya mkristo na mkatoloki?Kama ni mkristo sali omba Mungu kwa imani yako atakujibu
Kama ni mkatolic kuna novena, tenga muda omba Mungu atafanya njia
[emoji3][emoji3][emoji3]Hajazaa yeye, wamezaa wanawake wake.ss
Dini mkristo dhehebu katolikiSaizi kuna tofauti Kati ya mkristo na mkatoloki?
InshallaPole sana stress kwa binadamu ni kawaida ila inabidi upambane nazo huko mbele mambo yatakua sawa ww siyo mkamilifu yatapita tu
Ikawaje nini?Sasa ikawaje?
Mvulana baba yakoHata wavulana huwa wanapata watoto
Humu bana kila mtu anajifanya mjanja kwenye tatizo la mwingine..kuna mwingine humu alisha pitishwaga kwenye changamoto mpaka akaja kulia shida hapa ila leo badala ya kumtia moyo mwenzake anajifanya shujaa.Mshikaji anapitia kipindi kigumu, anahitaji faraja na si kashfa. Kuna siku utapita njia anayoipitia jamaa, utazikumbuka hizo kashfa na dharau unazozifanya leo