Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

Umepewa hadi kifungu cha sheria. Umeambiwa ni utaratibu upo. Ndio maana kina kabendera wanasema wameminywa p.u.mb.u wanakwepa vipengele vya sheria.

Wanaibuka na hoja ya kulazimishwa. Haya wameambiwa walete ushahidi.
 
Mbona Rugemalila hakukubali?
 
-Baadhi ya wananchi waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha,wanakusudia kudai fedha zao au fidia kwa madai kuwa walishurutishwa kusaini hayo madokezo na Mamlaka za Serikali
-walilazimika kufanya hivyo kutokans na hali mbaya ya kwenye magereza au kitendo cha kukosa Uhuru.
-Ni busara Serikali,ijiridhishe kama fedha hizo ziko mahali salama au la.
-Serikali haina dhamira ovu,kwa kuagiza kufanya ukaguzi maalum,
-kwa hiyo watumishi wote wa umma ambao walishiriki kwenye mchakato wa plea bargaining,watoe ushirikiano,
-ili kumwezesha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kutoa taarifa.

Ushauri;
-Tuviache vyombo vya huru Kama CAG au takukuru vifanye kazi yake na ndiyo wawasafishe wahusika,na siyo vinginevyo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Na yeye achunguzwe kwa undani kama alivyowachunguza wale
Asiache hata ndugu mmoja mpaka bibi yake na kama amekufa achunguzwe pia maana wanaandika mali mpaka kwa wafu hawa

Ukishakuwa na roho ya hivyo hushindwi kitu
Mali nyingi zilienda kwa wajanja hilo halina ubishi
Kina makonda wengine hao
 
Kwani tangu mmepiga kelele ni lipi lililotokea ?

Mbona kama kulia wote tunalia humu?

Au wewe na ukoo wako mnayo maduka yenu binafsi?
Ambako hamhusiki na hizi bei za Basic commodities?
 

Wewe hujielewi wewe...!!
Hela kwa nini ziliingizwa kwenye akaunti ya Biswalo...!!
Kuna watu mali zao zilichukuliwa lakini kwa sasa wanaishi humo watu binafsi, na hazijakadhiwa serikalini!
Labda iwe baada ya hili sakata Biswalo awe tayari ameuhamishia mzigo huko hazina, na mali zikabadhiwe usiku wa manane!
Subiri ripoti ya CAG mwezi machi mwakani utaona madudu hayo, usitetee upuuzi!
Hayo yanayosemwa yapo sema ushahidi hauwezi kuwekwa humu!!
 
Onyesha risiti ya serikali kuthibitisha kuwa mzigo ulienda serikalini. Ni rahisi hivyo.
 
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye maziingira ambayo upelelezi haujakamilika?

Ukweli ni kwamba plea bargain inayofanywa iko kinyume cha sheria na ni kichaka cha kujipatia fedha toka kwa waliolengwa. Ilikuwa ni i unyang'anyi wa mchana unaofanywa purposefully na Magufuli na Biswalo Mganga.
 
Mkuu mbona unajitia mchecheto , usiuvae mkenge , tulia kama unanyolewa.
Mwache CAG afanye uchunguzi wake!
 
Ndo kakutuma huyo biswalo umtetee? Watu wamelazimishwa kununua uhuru alafu unaleta ujinga? Watu wamedhulimiwa kibabe, mali za kina biswalo zinaonekana, jeuri, kiburi cha pesa, ni suala la muda tu.
 
Tukutane mahakamani
 
naomba ufafanuzi kwann huyo mchungaji aliyekula kondoo atimuliwe kwan maandiko yanakataz kula kondoo
 
Mbona Rugemalila hakukubali?
Sio kila mtu anaweza kuvumilia mateso, Ruge hakuwa na cha kupoteza maana umri umekwenda na ameandaa utaratibu mzuri kwa familia hata kama mngemuua kwa kumdhulumu maisha yake. Alikubaki kupigania maisha ya baadae na mali za familia yake.
Wenye umri mdogo hawakupenda kuacha mateso kwa familia wakati wanao muda wa kutafuta tena.
 
Unasaini uporaji huo na kumbe haziendi serikalini bali Biswalo na nduguze,Magufuri na nduguze pamoja na kujenga Chato kuwa Ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…