Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

Ule ulikuwa ni ushenzi na usheteni kabisa
 
Acha porojo, yaani Mzee avumilie mateso ili mali zake zisalimike na mtu wa umri mdogo ukubali kupoteza mali zako,kweli?
Wale wote walikuwa wapigaji tu,sema kwa sasa timu Msoga imerejea basi wanataka waendelee kutafuna nchi.

Punguza dharau zisizokuwa na maana Mbona jamaa katoa maoni kwa hekima kwamba Rugemalira aliamua kupoteza yote maana alishapanga kila kitu nyumbani kuhusu mali halafu wewe kwa dharau zako unaita porojo.

Umelishwa akili mbaya kwamba kila mwenye pesa ni mpigaji. Yani hakuna tajiri Tanzania mwenye uwezo wa kuwa na pesa zake bila kuitwa mpigaji.?.

Halafu Sasa hivi kila kitu mnamwangushia jk kana kwamba yeye kila ubaya ni wake. Wakati wa Magufuli mlimsema Sana na kumdharilisha mkidhani Magufuli ataishi milele.

Tuheshimu maoni ya wengine Kama unavyotaka maoni yako yaheshimiwe.
 

Nani huyo anamzushia?. Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Tatizo watu wa Magufuli mlidhalilisha Sana kikwete mkidhani mtatawala milele ila Sasa ndio mnalia kuwa mnadhalilishwa
 
Tulia basi huo uchunguzi ukifanyika na ripoti ikitoka ndo utoe hilo POVU

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unajulikana.
 
Mavi yako mbwa wewe.
 
Kwa hiyo umekomaa kana kwamba kuna hoja yenye mashiko!!??
Upuuzi huo ..
Labda nikukumbushe kila kitu kilifanyika kwa mujibu wa sheria na pesa ziliingia kwenye akanti za serekali. Umeelewa ww kilaza!
 
Ule uchunguzi wa pesa zilizopotea benki kuu wakati wa msiba wa Magufuli mpaka leo sijawahi kuona majibu yake, sina imani na hao jamaa.

Kitu kinachofanyika kwa idhini ya mahakama hakiwezi kuhojiwa na kubatilishwa nje ya mahamaka.

Nionavyo mimi, hili ni swala la kifedha (fedha ya umma) ambalo linaangukia kwenye himaya ya CAG. Tukitaka kila mmoja wetu awe CAG hapa, nchi itakwenda ubenibeni!
 
Magufuli alikuwa Msanii

Wizi sio mzuri hata siku 1


Haki itendeke .
 
Kwa hiyo umekomaa kana kwamba kuna hoja yenye mashiko!!??
Upuuzi huo ..
Labda nikukumbushe kila kitu kilifanyika kwa mujibu wa sheria na pesa ziliingia kwenye akanti za serekali. Umeelewa ww kilaza!
"Pesa ziliingia Akaunti ya serikali"

Akaunti gani na ipo benki ipi?

Hata hao jamaa waliopiga hela hizo walikuwa wanajiita "serikali"

Kama una maana ya kuingia mifukoni mwao, you might be right..!
 
"Pesa ziliingia Akaunti ya serikali"

Akaunti gani na ipo benki ipi?

Hata hao jamaa waliopiga hela hizo walikuwa wanajiita "serikali"

Kama una maana ya kuingia mifukoni mwao, you might be right..!
Wajinga mpo wengi sana na story zenu za Mwananyamala Kidile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…