Walitaka waingize majenereta kwanza ndipo wawashe mtambo.Tanzania Na Uongozi Unaotia Kinyaa Yaani Zimeanza Kuingia Maana Siku Yoyote Tatizo Liko Pale Pale. Mvua Tele Shida Eti Maji Machafu Yameingia Bwawani
Mkuu uamini uongozi wa Yanga kamwe hutajuta...Tanzania Na Uongozi Unaotia Kinyaa Yaani Zimeanza Kuingia Maana Siku Yoyote Tatizo Liko Pale Pale. Mvua Tele Shida Eti Maji Machafu Yameingia Bwawani
Huyu biteko hebu akae kimya kwahiyo an0atufanya sie waTanzania wapumbavu? Upuuzi mtupuNaibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko
Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
Apa tulipo Umeme Haupo Toka MchanaNaibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko
Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
Na wenyewe naona uko mbioni.uwanja wa ndege mwanza mbona bado!
natumae ndani ya muda mfupi utawakaARUSHA MJINI
Kipara alaaniwe huko alipoAmechelewa sana kuwasha hiyo mitambo kwasababu ya kumuamini bwana kipara......
Umewakanatumae ndani ya muda mfupi utawaka
huwenda ni hitilafu tuh
Kuna mashine tisa leo wamewasha ya kwanza bado nane mkuuKutoka megawati 2000+ hadi megawati 470, hakika mama anaupiga mwingi
Wanapenda shuguli aiseYaani viongozi wa Kiafrika wanapenda kitu kinaitwa uzinduzi, ni muendelezo ule ule wa uswahili wa kucheza cheza ngoma na sherehe za kitamaduni...